LGE2024 RC Chalamila azindua Bata la Disemba, kujipoza na majanga ya Kariakoo "Usije kwenye Bata kama hujapiga Kura Novemba 27"

LGE2024 RC Chalamila azindua Bata la Disemba, kujipoza na majanga ya Kariakoo "Usije kwenye Bata kama hujapiga Kura Novemba 27"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezindua rasmi "Bata la Disemba - End of the year Carnival," akisisitiza kuwa hafla hiyo ni ya kipekee kwa wananchi wa mkoa huo, na inalenga kujipongeza baada ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza, ikiwemo ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo. Chalamila aliwataka wananchi kujiandaa kwa sherehe hizo za mwisho wa mwaka, huku akiwataka pia kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Usije kwenye Bata kama hujapiga kura Novemba 27". Bata la Disemba linatarajiwa kuwa tukio kubwa la burudani.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Chalamila, amezindua rasmi "Bata la Disemba - End of the year Carnival," akisisitiza kuwa hafla hiyo ni ya kipekee kwa wananchi wa mkoa huo, na inalenga kujipongeza baada ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza, ikiwemo ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo. Chalamila aliwataka wananchi kujiandaa kwa sherehe hizo za mwisho wa mwaka, huku akiwataka pia kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Usije kwenye Bata kama hujapiga kura Novemba 27". Bata la Disemba linatarajiwa kuwa tukio kubwa la burudani.
Hujui hata Nina lake...eti Amos
 
Bata katangaza bata litakaloliwa na mabata wenziwe. kazi kwenu mabata, sisi huku kwetu bado tunaomboleza familia zetu zilizopatwa na jeraha la Kkoo.

naamini anatoa bata hilo kwa sababu hamna ndugu yake aliyekutwa na jeraha la kariakoo, angelikuwa na hata nudug mmoja ambaye angeangukiwa na ghorofa, asingelitoa hilo bata kwa kwa mabata wenzake
 
Huyu myu na nusu resp Mh wangu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezindua rasmi "Bata la Disemba - End of the year Carnival," akisisitiza kuwa hafla hiyo ni ya kipekee kwa wananchi wa mkoa huo, na inalenga kujipongeza baada ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza, ikiwemo ajali ya jengo lililoanguka Kariakoo. Chalamila aliwataka wananchi kujiandaa kwa sherehe hizo za mwisho wa mwaka, huku akiwataka pia kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

"Usije kwenye Bata kama hujapiga kura Novemba 27". Bata la Disemba linatarajiwa kuwa tukio kubwa la burudani.
Rc
Maisha n hayahayaa
 
Back
Top Bottom