LGE2024 RC Chalamila azindua Bata la Disemba, kujipoza na majanga ya Kariakoo "Usije kwenye Bata kama hujapiga Kura Novemba 27"

LGE2024 RC Chalamila azindua Bata la Disemba, kujipoza na majanga ya Kariakoo "Usije kwenye Bata kama hujapiga Kura Novemba 27"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kama hakutakuwa na masharti ya Umri kwa Wazee

Nami nitashiriki kwenye hilo "Bata la DSM"

Maana kazi tuliyofanya Mwaka mzima kukimbizana na hela sio rahisi, hivyo mwili nao unahitaji kupongezwa 🥂
 
Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na kampuni ya Heineken Beverages International imetangaza kuandaa Carnival ya bia ya mwisho wa mwaka iliyopewa jina la 'Bata la Disemba' ambapo wananchi na wadau mbalimbali watakutana kwa pamoja kufurahia bata hilo linalotarajiwa kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8.2024 katika viwanja vya Leaders club

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza hilo hapo jana, Jumatatu Novemba 25.2024 alipokutana na wanahabari Serena Hotel, Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine amesema Carnival hiyo ni sehemu ya maadhimisho ya kuimarika kwa uhai wa kiuchumi wa jiji la Dar es Salaam
 
Upuz mtupu naona sahv mnawazubaiza watu na burdan pombe miziki na kwa jinsi nchi hii ilivyokuwa na mambugila kweli mtawaokota

Ova
 
Back
Top Bottom