Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Hajapoteza fahamu Ndo mana amesema kakukumbusha. Ukiona mtu huhitaji kukumbushwa ujue hapo pana shida kubwa zaidi.naona ni kama umepoteza fahamu ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajapoteza fahamu Ndo mana amesema kakukumbusha. Ukiona mtu huhitaji kukumbushwa ujue hapo pana shida kubwa zaidi.naona ni kama umepoteza fahamu ndugu
Vipi machawa wa mbowe mmejiandaa kushambulia lisu Kwa vihoja na sio hoja?Baada ya kelele wamepanga kumrejesha, Mkuu Chalamila usijiingize kwenye hii michezo, ili siku ukiondolewa urudi kwenu Tanangozi kwa amani
Kwani ana nini cha kuibiwa? Huyo hana hata hizi Kinglion za mgawo za watch100.Tumekuibia nini
IsemboKwani ana nini cha kuibiwa? Huyo hana hata hizi Kinglion za mgawo za watch100.
ananikumbusha fikra ushuziHajapoteza fahamu Ndo mana amesema kakukumbusha. Ukiona mtu huhitaji kukumbushwa ujue hapo pana shida kubwa zaidi.
Nn kifanyikeeNaona huu mchezo wa kutekwa ndiyo unaingia Tanzania. Ulianzia Marekani, mara zote waliotekwa au kutekwa walikuwa na majina ya Kabila moja, Italians. Kwa TZ tunaona wanaotekwa wana majina ya Kabila moja, tangu Soka, Mlay, Mbowe, Massawe, Urassa, wengi wana CHADEMA? Hii ni bahati mbaya, au ni elimu? Wamesoma mbinu za Marekani kwa ujasiriamali?
Basi Hayanaona ni kama umepoteza fahamu ndugu
Tuwahi kurudi nyumbani huku tukiwa na mapanga!Nn kifanyikee
Si Bahati mbaya, ni mpango MaalumNaona huu mchezo wa kutekwa ndiyo unaingia Tanzania. Ulianzia Marekani, mara zote waliotekwa au kutekwa walikuwa na majina ya Kabila moja, Italians. Kwa TZ tunaona wanaotekwa wana majina ya Kabila moja, tangu Soka, Mlay, Mbowe, Massawe, Urassa, wengi wana CHADEMA? Hii ni bahati mbaya, au ni elimu? Wamesoma mbinu za Marekani kwa ujasiriamali?
Akaendelee na kale Ka kwaya kakeBaada ya kelele wamepanga kumrejesha, Mkuu Chalamila usijiingize kwenye hii michezo, ili siku ukiondolewa urudi kwenu Tanangozi kwa amani
SAYNGAYWachaga kwa wizi ni hatari
Sasa mtu dalali wa magari serikali ikuteke kwa lipi,wakati wewe siyo mwanaharakati wala hujishugulishi na siasa
Kipindi cha nyuma na huwa napenda sana kusema humu kuna watu wanapita na huu upepo,wa kutekana
Watu wamedhulumiana,watu wanadaiana hata kuna watu wakijuwa fulani ana hela wanakuja kukuteka !
Na ukiona mpaka imefika watu wanatekana basi watu hawana imani na mamlaka za kusimamia haki na sheria
Ova
Ndio maana tunahimiza matumizi ya condom kwa ajili ya kuepusha comments kama hizi.UPINZANI NI KAMA SIASA ZIMEWASHINDA
Ongezea hawa;Siku akitekwa Mama yako ndio utaielewa ccm, Aliwekewa sumu Mangula Mfia chama, wewe ni nani?
anawania kuteuliwa katibu tarafa huyo( chawa )Ndio maana tunahimiza matumizi ya condom kwa ajili ya kuepusha comments kama hizi.