The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Yaani we Acha tu.yaani Mungu ampe hekima na busaraSamia alimwambia Chalamila akue. Ila badala ya kukua amekuwa chawa wa mama.
Maneno na matendo yake kama isingekuwa kumsilfia sifia mama. Saivi tungekuwa tunaongea mengine.
Kiufupi huyu jamaa ana mdomo mchafu sana by nature ila inategemea anaongelea kuelekezea upande upi.
Kajichanganye halaf uje ulete mrejesho πHivi ana pumzi ya kupigana hata dakika 3 au atamaliza sekunde 20 tu
Anasema ni mkorofi na anaweza kuzipiga, what a joker π π
Gavana Chalamila baada ya mazoezi mazito!Hivi ana pumzi ya kupigana hata dakika 3 au atamaliza sekunde 20 tu
Anasema ni mkorofi na anaweza kuzipiga, what a joker π π
π π€£ π shauri zako, sikusaidii mimi naziweza ngumiGavana Chalamila baada ya mazoezi mazito!
View attachment 2768748
Hamna kitu hapoKajichanganye halaf uje ulete mrejesho πView attachment 2768744
huyo jamaa sio kiongozi, ni manyigu ya kurusha mkipoteana ili adui achomoze. anawafaa sana kwa namna hiyo kwasababu yeye kule iringa huwa wanaweka mbegu za bange kwenye mboga, na wanakunywa ulanzi tangu wakiwa na miaka 2.Samia alimwambia Chalamila akue. Ila badala ya kukua amekuwa chawa wa mama.
Maneno na matendo yake kama isingekuwa kumsilfia sifia mama. Saivi tungekuwa tunaongea mengine.
Kiufupi huyu jamaa ana mdomo mchafu sana by nature ila inategemea anaongelea kuelekezea upande upi.
RC lomo lomo mingi kama chakulaSamia alimwambia Chalamila akue. Ila badala ya kukua amekuwa chawa wa mama.
Maneno na matendo yake kama isingekuwa kumsilfia sifia mama. Saivi tungekuwa tunaongea mengine.
Kiufupi huyu jamaa ana mdomo mchafu sana by nature ila inategemea anaongelea kuelekezea upande upi.