Tetesi: RC Chalamila kuhamishwa Dar

Tetesi: RC Chalamila kuhamishwa Dar

Kampiga malaya risasi kahepa ikala kwa mlinzi, madadapoa wa dar sio maboya
 
Ameweza nini? Madangulo vp yameisha yote? Stand za vichocholoni zimekoma?
Hapo Jijini Dar es Salaam saizi Ukienda Kunywa Mahala. panaheshima. Yaani ilikuwa imefikia hatua Mbaya Yaani Mwanaume unapita Sehemu Unagombaniwa kama Mitumba ya Bure. Yaani unalazimishwa uone Vitu vya ajabu ajabu, Binadamu Wanaishi kama Wanyama. Nenda Vibe lounge, Kitambaa cheupe, Warehouse masaki, Wavuvi camp na maeneo mengi. Kuna Maduka yapo Buku 2-7 yaani watu Wanapanga gesti Riverside kuuza buku 2-7 na huku akiwa amejaza Makondommmm.
Huu Mwezi wa Heri ila hawa Viumbe wamefika mahala pabaya sana. Wanatukera.
NB: Charles Charamila -Kiongozi, Mzee, Mheshimiwa sana, Kaka Kaza hapohapo.
 
Chalamila anaondoka DSM kutokana na kushindwa kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto za jiji ilo kubwa. Mahitaji ya wananchi na maono ya RC Chalamila vimeshindwa kuendana na hivyo mapendekezo yametolewa aondolewe hasa kipindi hiki cha kuomba uungwaji mkono.

Hayo yametokea baada ya Kitila Mkumbo kujaribu kufanya mikutano wananchi wakamkataa, Jerry Slaa amekataliwa adharani mbele ya Mawaziri wenzake huko Gwajima akizurura bila kutatua wala kuonyesha watu wa kawe atafanya nini.

Katika mikutano muhimu ya kupanga mipango ya jiji ambayo RC Chalamila ni MWENYEKITI ameshindwa kabisa kuwashawishi wajumbe kuimarisha miundombinu na kusimamia huduma.

RC Chalamila anaongoza jiji ambalo bikwazo vya biashara vinavyochangiwa na watumishi wa umma vimeongezeka na hakuna udhibiti. Mfano rushwa barabarani imekuwa kama huduma kwa wananchi na siyo jambo la kuogopa kama ukoma.

Huduma ya afya imeyoyoma, elimu hakuna mwelekeo jambo linalopelekea watoto kurandaranda mitaani hadi usiku na unifomu. Hakuna kiongozi wa serikali ikiwemo local Government anayewajibika.

Kwa analysis hii tayari exit yake ipo mkononi for implementation, anarudi ofisini kama Naibu Katibu Mkuu wizara ya Sanaa.

Pamoja na kwamba hoja zote za kumwondoa zina mashiko ila kidogo tusimshtukize. Kwa mantiki hiyo nimeandika uzi huu makusudi kuchelewesha uhamisho wa huyu mlevi mwenzetu asitumbuliwe usiku huu. Naamini kwa uzi huu Mdogo wetu Chalamila utapata muda wa kujiandaa unapohamishwa usiwe na mshtuko sana.

Umofia Kwenyuuuu.......Igweeeeeww

View: https://web.facebook.com/watch/?v=651435409651441
 
Chalamila anaondoka DSM kutokana na kushindwa kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto za jiji ilo kubwa. Mahitaji ya wananchi na maono ya RC Chalamila vimeshindwa kuendana na hivyo mapendekezo yametolewa aondolewe hasa kipindi hiki cha kuomba uungwaji mkono.

Hayo yametokea baada ya Kitila Mkumbo kujaribu kufanya mikutano wananchi wakamkataa, Jerry Slaa amekataliwa adharani mbele ya Mawaziri wenzake huko Gwajima akizurura bila kutatua wala kuonyesha watu wa kawe atafanya nini.

Katika mikutano muhimu ya kupanga mipango ya jiji ambayo RC Chalamila ni MWENYEKITI ameshindwa kabisa kuwashawishi wajumbe kuimarisha miundombinu na kusimamia huduma.

RC Chalamila anaongoza jiji ambalo bikwazo vya biashara vinavyochangiwa na watumishi wa umma vimeongezeka na hakuna udhibiti. Mfano rushwa barabarani imekuwa kama huduma kwa wananchi na siyo jambo la kuogopa kama ukoma.

Huduma ya afya imeyoyoma, elimu hakuna mwelekeo jambo linalopelekea watoto kurandaranda mitaani hadi usiku na unifomu. Hakuna kiongozi wa serikali ikiwemo local Government anayewajibika.

Kwa analysis hii tayari exit yake ipo mkononi for implementation, anarudi ofisini kama Naibu Katibu Mkuu wizara ya Sanaa.

Pamoja na kwamba hoja zote za kumwondoa zina mashiko ila kidogo tusimshtukize. Kwa mantiki hiyo nimeandika uzi huu makusudi kuchelewesha uhamisho wa huyu mlevi mwenzetu asitumbuliwe usiku huu. Naamini kwa uzi huu Mdogo wetu Chalamila utapata muda wa kujiandaa unapohamishwa usiwe na mshtuko sana.

Umofia Kwenyuuuu.......Igweeeeeww
Uwage na akili hata kiduchu
 
Unataka Chalamila awafanyie kampeni hao kina Kitila wakubalike majimboni mwao?

Hao hawakubaliki nao wanajua, ni suala muda tu wataondoka 2025 labda wabebwe na Samia tena kama Magufuli alivyowabeba.

Kutokubalika kwao sio kosa la Chalamila.
Yeah
 
Chalamila anaondoka DSM kutokana na kushindwa kuweka mikakati ya kukabiliana na changamoto za jiji ilo kubwa. Mahitaji ya wananchi na maono ya RC Chalamila vimeshindwa kuendana na hivyo mapendekezo yametolewa aondolewe hasa kipindi hiki cha kuomba uungwaji mkono.

Hayo yametokea baada ya Kitila Mkumbo kujaribu kufanya mikutano wananchi wakamkataa, Jerry Slaa amekataliwa adharani mbele ya Mawaziri wenzake huko Gwajima akizurura bila kutatua wala kuonyesha watu wa kawe atafanya nini.

Katika mikutano muhimu ya kupanga mipango ya jiji ambayo RC Chalamila ni MWENYEKITI ameshindwa kabisa kuwashawishi wajumbe kuimarisha miundombinu na kusimamia huduma.

RC Chalamila anaongoza jiji ambalo bikwazo vya biashara vinavyochangiwa na watumishi wa umma vimeongezeka na hakuna udhibiti. Mfano rushwa barabarani imekuwa kama huduma kwa wananchi na siyo jambo la kuogopa kama ukoma.

Huduma ya afya imeyoyoma, elimu hakuna mwelekeo jambo linalopelekea watoto kurandaranda mitaani hadi usiku na unifomu. Hakuna kiongozi wa serikali ikiwemo local Government anayewajibika.

Kwa analysis hii tayari exit yake ipo mkononi for implementation, anarudi ofisini kama Naibu Katibu Mkuu wizara ya Sanaa.

Pamoja na kwamba hoja zote za kumwondoa zina mashiko ila kidogo tusimshtukize. Kwa mantiki hiyo nimeandika uzi huu makusudi kuchelewesha uhamisho wa huyu mlevi mwenzetu asitumbuliwe usiku huu. Naamini kwa uzi huu Mdogo wetu Chalamila utapata muda wa kujiandaa unapohamishwa usiwe na mshtuko sana.

Umofia Kwenyuuuu.......Igweeeeeww
Chalamila lile Jani lile haliwezi awaachie wachomaji.
 
Mkoa mmoja viongozi lukuki...

RC, MaDC, Wabunge, Madiwani, sijui wakurugenzi wa manispaa n.k
 
Back
Top Bottom