Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tupe tafsiri halisi ya neno 'mnyonge' ili tuwe na uelewa wa pamoja wakati tukijadili hoja hii!Sasa itakuaje kama wanyonge waliwahi kuwa na Raisi wao au alipoondoka aliondoka nao ?
Halafu mara nyingi wanatumia lugha za kitoto sana, ni kama vile haushirikishi vyema ubongo wakeHuyu mjomba wangu huwa simuelewi....kabisaa......sijui ana shida gani ? Nadhani huyu aende Lindi au Singida huko Dar sidhani kama ana ubunifu kwa jiji hili......hapanaa
Ni kweli kabisaHakuna kinyonge kitakachorithi ufalme wa Mungu
Ile ya machangudoa asingeiweza na pale ndo alionyesha hana hekimaChangudoa nao ameshindwa?
Nadhani wanyonge wanao zungumziwa hapo ni wanyonge wanao kipigia kura ...maana ni kweli wanyonge ndiyo wanao kipigia kura ...kwa maana kuna (wapiga kura wa ccm) na (wamiliki wa ccm).....wamiliki wa ccm siyo wanyongeLusungo Lakini wenzake huwa Wanasema CCM ni chama cha wanyonge. Sasa itakuwaje???
Mwenda zake alitugeuza na kutujaza ujinga wa "UNYONGE" na kijinga kabisa tukaupokea unyonge wa kuvishwa kipumbavu kabisa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila, amesema kuwa mtu mnyonge hawezi kufurahia kitu kizuri, mnyonge anafurahia vitu vya hovyo hovyo.
Chalamila amesema maneno hayo alipokuwa akizungumza na wafanyakazi, wafanyabiashara, na viongozi mbali mbali kwenye Machinjio ya Vingunguti siku kadhaa zilizopita.
"Ukiona Mheshimiwa Rais anajenga soko zuri, hajengi Kwa sababu kuna mnyonge..." Alisema Chalamila.
Wanyonge mjipange kivingine ukweli ndiyo mshaambiwa hivyo.
Chanzo: Global Tv.
Twaweza pata tafasil halisi ya neno mnyonge chato pekee ambako neno hili liliasisiwa. RAIS WA wanyongeMkuu tupe tafsiri halisi ya neno 'mnyonge' ili tuwe na uelewa wa pamoja wakati tukijadili hoja hii!
Kwani huwaoni kwenye vilinge vyao wakodisha utamu🤔🤔Changudoa nao ameshindwa?