RC Chalamila: Nimemwandikia barua Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda aitishe kikao cha wadau kujadili bei ya Saruji!

RC Chalamila: Nimemwandikia barua Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda aitishe kikao cha wadau kujadili bei ya Saruji!

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Albert Chalamila amemtaka Katibu mkuu Qizara ya Viwanda na Biashara kuandaa kikao cha wadau wa Cement kujadili bei ya bidhaa hiyo.

Chalamila amesema Mbeya wamefanikiwa na bei ya Cement haijapanda hivyo anataka ubunifu wake utumike katika level ya taifa ambapo wasafirishaji Cement ni sekta muhimu ya kujadiliana nao kumaliza kadhia hii.

Chanzo: ITV habari!
Jamaa huyu shule imemupita kando. Hajui tabia ya bei ya bidhaa katika soko huria inatawalia na kanuni ya "supply and demand".
 
Msimtafute mchawi.
Mchawi ni serikali na viwanda vya cement.
Hivyo viwanda vinafanya makusudi kupunguza uzalishaji.
Dangote alikuwa anauza cement Bei ya reja reja mpaka shilingi elfu 8.unajua walichomfanya?.
Alafu anakuja mtu anakwambia Mimi Ni kiongozi wa WANYONGE.leo hii wanyonge wananunua cement elfu 17,000 kwa mfuko.
Kinachomgharimu bwana Yule UMIMI.
Hataki kuona Mambo mazuri aliyoyafanya mtangulizi wake.
Rejea bandari ya bagamoyo.
Safi sana mkuu wa Mkoa, huyu Katibu mkuu wa Viwanda na Biashara hata hasaidii, kwa crisis kama hiii alitakiwa kujitokeza hadharani kutoa kauli ya Serikali. Hongera sana Katibu mkuu Wizara ya Kilimo unaonekana kujua wajibu wako, kila siku tunakuona ukishughulikia kero za wananchi.Viwanda na Biashara mmeiangusha Serikali kwa hili la Cement. Ni hayo tu
 
Msimtafute mchawi.
Mchawi ni serikali na viwanda vya cement.
Hivyo viwanda vinafanya makusudi kupunguza uzalishaji.
Dangote alikuwa anauza cement Bei ya reja reja mpaka shilingi elfu 8.unajua walichomfanya?.
Alafu anakuja mtu anakwambia Mimi Ni kiongozi wa WANYONGE.leo hii wanyonge wananunua cement elfu 17,000 kwa mfuko.
Kinachomgharimu bwana Yule UMIMI.
Hataki kuona Mambo mazuri aliyoyafanya mtangulizi wake.
Rejea bandari ya bagamoyo.
Tuko katika kujenga na siyo kumtafuta mchawi bwashee!
 
Uzuri namba tunazisoma wote.
Hao wenye viwanda msipowatingisha.mjiandae kwa maumivu hii Hali itaenda mpaka mwakani..
Na Bei haitoshuka.ba cement itazidi kupotea.
Mtu alikuwa anauza cement elfu 8.mkaona hafai mkamuwekea vikwazo mpaka akataka kuondoka.
Mimi rais wa wanyonge [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Na anawanyonga kweli kweli.
Tuko katika kujenga na siyo kumtafuta mchawi bwashee!
 
Mimi sio Engineer wa ujenzi, lakini kutokana na uzoefu wangu wa saidia fundi, Mara nyingi mfuko wa cement una zile klai za zege 3 ambazo zinatumika kubalance uwiano wa mchanga kwenye plaster (sjui kiswahili chake vizuri) na kusakafia ..au kubalance na kokoto wakati wa kumwaga zege.kwa mantiki hiyo basi unakuta mfuko mzima unachukua uwiano wa 3:12 yaan kalai moja ya cement ina chukua kalai 4 za mchanga. Nimechangia tu sio kwamba ndo mantiki yake ..
Kwa hesabu hiyo wanaweza kupack 12.5 kgs kwa mfuko na hesabu ikaenda sawa.
 
Msimtafute mchawi.
Mchawi ni serikali na viwanda vya cement.
Hivyo viwanda vinafanya makusudi kupunguza uzalishaji.
Dangote alikuwa anauza cement Bei ya reja reja mpaka shilingi elfu 8.unajua walichomfanya?.
Alafu anakuja mtu anakwambia Mimi Ni kiongozi wa WANYONGE.leo hii wanyonge wananunua cement elfu 17,000 kwa mfuko.
Kinachomgharimu bwana Yule UMIMI.
Hataki kuona Mambo mazuri aliyoyafanya mtangulizi wake.
Rejea bandari ya bagamoyo.
Exactly mjinga wewe.
Serikali yetu ndo tatizo wanahamishia matatizo yao kwa wafanyabiashara
 
Back
Top Bottom