RC Chalamila, PR yako ya kumsafisha rais juu ya shida ya Maji jijini wana Dar es salaam hatudanganyiki

RC Chalamila, PR yako ya kumsafisha rais juu ya shida ya Maji jijini wana Dar es salaam hatudanganyiki

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Siku hizi RC Chalamila kila akipata fursa ya kuzungumza mbele ya rais, haachi kutoa data zenye ukakasi kuhusu suala la maji jijini Dar es salaam.

Amekuwa mara kwa mara akitoa data kuwa rais katoa fedha kujenga miundo mbinu ya maji hapa na pale jijini, hata hivyo hanukuu ni bajeti ipi hizo pesa zimetoka.

Nataka nimkumbushe tu ndugu Chalamila kuwa Njia ya Muongo ni fupi, na Mwezi November ambao huambatana na Upungufu na migao ya maji Jijini unakarabia. Sijui atatunga uwongo gani wa kutupanga tukae sawa pindi Migao ya maji ikifika.

Rais mwaka jana kipindi cha Mgao alisema ametoa fedha ili BWAWA LA KIDUNDA lijengwe. Toka wakati huo alipotoa kauli hiyo hatujapata mrejesho wa Wizara ya Maji au ya Rais kuelezea maendeleo ya Ujenzi huo. Sasa inashangaza RC Chalamila anapokuja na kupiga siasa kwenye ishu ya maji wakati wana Dar es salaam kila mwaka miezi ya November tunahenyeka kwa upungufu wa maji.

Sisi tupo tunasubiri Harakati zao za zimamoto, wako busy kupitisha bajeti za kulipana posho lakini ishu za maji wanatumia wanasiasa kulainisha watu.

RC Chalamila wana Dar tunataka Maji ya uhakika, siyo hizi blahblah za Kumpamba rais mbele ya wananchi wakati wananchi maji ni shida.

Hatudanganyiki "blaza"!
 
Siku hizi RC Chalamila kila akipata fursa ya kuzungumza mbele ya rais, haachi kutoa data zenye ukakasi kuhusu suala la maji jijini Dar es salaam.

Amekuwa mara kwa mara akitoa data kuwa rais katoa fedha kujenga miundo mbinu ya maji hapa na pale jijini, hata hivyo hanukuu ni bajeti ipi hizo pesa zimetoka.

Nataka nimkumbushe tu ndugu Chalamila kuwa Njia ya Muongo ni fupi, na Mwezi November ambao huambatana na Upungufu na migao ya maji Jijini unakarabia. Sijui atatunga uwongo gani wa kutupanga tukae sawa pindi Migao ya maji ikifika.

Rais mwaka jana kipindi cha Mgao alisema ametoa fedha ili BWAWA LA KIDUNDA lijengwe. Toka wakati huo alipotoa kauli hiyo hatujapata mrejesho wa Wizara ya Maji au ya Rais kuelezea maendeleo ya Ujenzi huo. Sasa inashangaza RC Chalamila anapokuja na kupiga siasa kwenye ishu ya maji wakati wana Dar es salaam kila mwaka miezi ya November tunahenyeka kwa upungufu wa maji.

Sisi tupo tunasubiri Harakati zao za zimamoto, wako busy kupitisha bajeti za kulipana posho lakini ishu za maji wanatumia wanasiasa kulainisha watu.

RC Chalamila wana Dar tunataka Maji ya uhakika, siyo hizi blahblah za Kumpamba rais mbele ya wananchi wakati wananchi maji ni shida.

Hatudanganyiki "blaza"!
Hakika
 
Siku hizi RC Chalamila kila akipata fursa ya kuzungumza mbele ya rais, haachi kutoa data zenye ukakasi kuhusu suala la maji jijini Dar es salaam.

Amekuwa mara kwa mara akitoa data kuwa rais katoa fedha kujenga miundo mbinu ya maji hapa na pale jijini, hata hivyo hanukuu ni bajeti ipi hizo pesa zimetoka.

Nataka nimkumbushe tu ndugu Chalamila kuwa Njia ya Muongo ni fupi, na Mwezi November ambao huambatana na Upungufu na migao ya maji Jijini unakarabia. Sijui atatunga uwongo gani wa kutupanga tukae sawa pindi Migao ya maji ikifika.

Rais mwaka jana kipindi cha Mgao alisema ametoa fedha ili BWAWA LA KIDUNDA lijengwe. Toka wakati huo alipotoa kauli hiyo hatujapata mrejesho wa Wizara ya Maji au ya Rais kuelezea maendeleo ya Ujenzi huo. Sasa inashangaza RC Chalamila anapokuja na kupiga siasa kwenye ishu ya maji wakati wana Dar es salaam kila mwaka miezi ya November tunahenyeka kwa upungufu wa maji.

Sisi tupo tunasubiri Harakati zao za zimamoto, wako busy kupitisha bajeti za kulipana posho lakini ishu za maji wanatumia wanasiasa kulainisha watu.

RC Chalamila wana Dar tunataka Maji ya uhakika, siyo hizi blahblah za Kumpamba rais mbele ya wananchi wakati wananchi maji ni shida.

Hatudanganyiki "blaza"!
Shida gani tena ya Maji huko Dar?
 
Shida gani tena ya Maji huko Dar?
Miezi ya November hadi January huwa kuna shida sana sababu ua ukame, mto ruvu hupungua kina.. Solution waliyotupiga nayo sound ni kuwa Samia katoa hela kuanza kwa ujenzi wa bwawa la Kidunda karibu na Chalinze ili kikusanya maji ya mto ruvu kabla hayajaingia baharini ili kuyaretain kwa ajili ya kusupply Dar kipindi cha Ukame. Lakini it seems hizo ni ngonjera tu, hakuna mrejesho wowote juu ya uanzaji ujenzi wa bwawa hilo!
 
Miezi ya November hadi January huwa kuna shida sana sababu ua ukame, mto ruvu hupungua kina.. Solution waliyotupiga nayo sound ni kuwa Samia katoa hela kuanza kwa ujenzi wa bwawa la Kidunda karibu na Chalinze ili kikusanya maji ya mto ruvu kabla hayajaingia baharini ili kuyaretain kwa ajili ya kusupply Dar kipindi cha Ukame. Lakini it seems hizo ni ngonjera tu, hakuna mrejesho wowote juu ya uanzaji ujenzi wa bwawa hilo!
Hizo shida mwaka huu hazitatokea
 
Bwawa la kidunda,tume za kariakoo 000000000
Jamaa ni wasanii ile mbaya.

Chalamila akisimama mbele ya rais anataja figure ambazo zina mashaka. Yote hii kutaka kuwafanya wananchi waone Samia anashughulika na matatizo yao ya msingi
 
Siku hizi RC Chalamila kila akipata fursa ya kuzungumza mbele ya rais, haachi kutoa data zenye ukakasi kuhusu suala la maji jijini Dar es salaam.

Amekuwa mara kwa mara akitoa data kuwa rais katoa fedha kujenga miundo mbinu ya maji hapa na pale jijini, hata hivyo hanukuu ni bajeti ipi hizo pesa zimetoka.

Nataka nimkumbushe tu ndugu Chalamila kuwa Njia ya Muongo ni fupi, na Mwezi November ambao huambatana na Upungufu na migao ya maji Jijini unakarabia. Sijui atatunga uwongo gani wa kutupanga tukae sawa pindi Migao ya maji ikifika.

Rais mwaka jana kipindi cha Mgao alisema ametoa fedha ili BWAWA LA KIDUNDA lijengwe. Toka wakati huo alipotoa kauli hiyo hatujapata mrejesho wa Wizara ya Maji au ya Rais kuelezea maendeleo ya Ujenzi huo. Sasa inashangaza RC Chalamila anapokuja na kupiga siasa kwenye ishu ya maji wakati wana Dar es salaam kila mwaka miezi ya November tunahenyeka kwa upungufu wa maji.

Sisi tupo tunasubiri Harakati zao za zimamoto, wako busy kupitisha bajeti za kulipana posho lakini ishu za maji wanatumia wanasiasa kulainisha watu.

RC Chalamila wana Dar tunataka Maji ya uhakika, siyo hizi blahblah za Kumpamba rais mbele ya wananchi wakati wananchi maji ni shida.

Hatudanganyiki "blaza"!
Labda huko ndo kukua aha ha ha ahaa
 
Back
Top Bottom