RC Chalamila: Rais hawajaanza kukukatisha tamaa wewe, hata Yesu alikatishwa tamaa na Petro na Kristo akamwambia "Toka Shetani"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema yeye ni Mkatoliki na atafia Katoliki

RC Chalamila amesema Petro alimkatisha tamaa Yesu Kristo na Laiti Mwana wa Mungu angemsikiliza basi Ukombozi wa Dunia usingepatikana Lakini Masihi alimwambia Petro " Shetani toka"

Hivyo mh Rais hawa Wakatishaji tamaa hawajaanza leo walikuwepo tangu wakati wa Yesu Usiwasikilize, amesema Albert Chalamila

Chanzo: TBC
 

Yesu hakumaanisha kuwa Petro ni shetani bali alimaanisha aondoke shetani aliyetamka maneno dhidi ya Yesu kupitia mdomo wa Petro! Hilo ndilo Chalamila asilolielewa. Anajiropokea tu!
 
Neno shetani linamaanisha mpinzani. So mtu yeyote anayekupinga unaweza kumwita shetani. Hata vyama vya upinzani unaweza kusema ni vyama vya Mashetani🙂
 
Hilo jinga hua nikiliangalia hadi kichefuchefu.
 
Hilo jinga hua nikiliangalia hadi kichefuchefu.
Hana ujinga wowote ila nadhani huwa mnashindwa tu kumuelewa , chalamila ni mtu mmoja poa sana na anajua kubalance mambo katika uongozi wake
 
Kwa hiyo, anamaanisha Yesu alimchagua 'shetani' kuwa kiongozi wa kanisa maana Yesu mwenye alimwambia Petro "Nami nakuambia wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na wala milango ya kuzimu haitalishinda" (Matayo 16:18).
 
Yesu hakumaanisha kuwa Petro ni shetani bali alimaanisha aondoke shetani aliyetamka maneno dhidi ya Yesu kupitia mdomo wa Petro! Hilo ndilo Chalamila asilolielewa. Anajiropokea tu!
W3 umejuaje kama Petro hakuwa shetani mwenyewe? Nyie ndo mnaotudanganyaga kwenye biblia as if mnaongea na mungu daily kwamba "nilikuwa na maana hii".
 
W3 umejuaje kama Petro hakuwa shetani mwenyewe? Nyie ndo mnaotudanganyaga kwenye biblia as if mnaongea na mungu daily kwamba "nilikuwa na maana hii".

Wewe ulimuona Yesu amenfukuza Petro katika maisha yake! Si ndiye alimwbia wewe Petro ni mwamba na katika mwamba huu nitalijenga kanisa langu? Nyoko wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…