Kwa hiyo, anamaanisha Yesu alimchagua 'shetani' kuwa kiongozi wa kanisa maana Yesu mwenye alimwambia Petro "Nami nakuambia wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na wala milango ya kuzimu haitalishinda" (Matayo 16:18).
Hana ujinga wowote ila nadhani huwa mnashindwa tu kumuelewa , chalamila ni mtu mmoja poa sana na anajua kubalance mambo katika uongozi wake
Kasema anatamani hekima za Injinia MasauniRC amekiri mchana kweupe kuwa hakujaaliwa hekima wala busara!
Wewe ulimuona Yesu amenfukuza Petro katika maisha yake! Si ndiye alimwbia wewe Petro ni mwamba na katika mwamba huu nitalijenga kanisa langu? Nyoko wewe!
UmejuajeShetani ni roho!
Masikini 🤣👆👆🤣🤣 Rais anapangwa kisawasawa!! NB: Epukeni machawa ndug zang, hamtojua kama kuna mahali mmekosea maan machawa wao watakusifia mwanzo mwisho!!!Mkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema yeye ni Mkatoliki na atafia Katoliki
RC Chalamila amesema Petro alimkatisha tamaa Yesu Kristo na Laiti Mwana wa Mungu angemsikiliza basi Ukombozi wa Dunia usingepatikana Lakini Masihi alimwambia Petro " Shetani toka"
Hivyo mh Rais hawa Wakatishaji tamaa hawajaanza leo walikuwepo tangu wakati wa Yesu Usiwasikilize, amesema Albert Chalamila
Source: TBC
Kwa sababu ndiye mjaribu wetu!Umejuaje
Kwanza shetani hayupo ni dhana tuKwa sababu ndiye mjaribu wetu!
HayaKwanza shetani hayupo ni dhana tu
Chalamila rafiki yangu sana ila anautani mwingi katika uongozi mpaka katika maisha ya mtaani, afungwe brekiMkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema yeye ni Mkatoliki na atafia Katoliki
RC Chalamila amesema Petro alimkatisha tamaa Yesu Kristo na Laiti Mwana wa Mungu angemsikiliza basi Ukombozi wa Dunia usingepatikana Lakini Masihi alimwambia Petro " Shetani toka"
Hivyo mh Rais hawa Wakatishaji tamaa hawajaanza leo walikuwepo tangu wakati wa Yesu Usiwasikilize, amesema Albert Chalamila
Source: TBC
Baada ya kupigwa bench yeye na Kasesela wakafanyiwa maombezi na Mtume Mwamposa ndio Kasesela akapata unec na huyu Albert akarudishwa kwenye uRCChalamila rafiki yangu sana ila anautani mwingi katika uongozi mpaka katika maisha ya mtaani, afungwe breki
Kumbe mkuuBaada ya kupigwa bench yeye na Kasesela wakafanyiwa maombezi na Mtume Mwamposa ndio Kasesela akapata unec na huyu Albert akarudishwa kwenye uRC
Akiwa Mbeya Chalamila alikua anakuja Dukani kwangu karibu na Hospital ya kanda ,leo hata nikimpigia sim hapokei, watu wa Dar sijui wamemfanya nini, watoto wa kizaramo mwachieni ndungu yanguKumbe mkuu
Chizi kavamia DarMkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amesema yeye ni Mkatoliki na atafia Katoliki
RC Chalamila amesema Petro alimkatisha tamaa Yesu Kristo na Laiti Mwana wa Mungu angemsikiliza basi Ukombozi wa Dunia usingepatikana Lakini Masihi alimwambia Petro " Shetani toka"
Hivyo mh Rais hawa Wakatishaji tamaa hawajaanza leo walikuwepo tangu wakati wa Yesu Usiwasikilize, amesema Albert Chalamila
Source: TBC
Huyu mkuu wa mkoa hajui anachotakiwa kukifanya kwa wananchi matokeo yake amegeuka ni zumari kutetea unga. Atakaa muda mfupi sana kwenye jiji hilo lenye karaha na watu werevu wengi. Anatumia sana ubabe badala ya kutumia akili kuongoza yatamshindaWewe ulimuona Yesu amenfukuza Petro katika maisha yake! Si ndiye alimwbia wewe Petro ni mwamba na katika mwamba huu nitalijenga kanisa langu? Nyoko wewe!
Huyu sio chizi , mkuu, anayo Maokoto ya kutosha, muone vile tuChizi kavamia Dar
Huyu shida yake ni matani ya kitaa kwenda nayo ofisin, Chalamila kitaa yupo vizuri sana , may be huwa anajisahau,Huyu mkuu wa mkoa hajui anachotakiwa kukifanya kwa wananchi matokeo yake amegeuka ni zumari kutetea unga. Atakaa muda mfupi sana kwenye jiji hilo lenye karaha na watu werevu wengi. Anatumia sana ubabe badala ya kutumia akili kuongoza yatamshinda
Apunguze kunywa Mkangafu siku Moja Moja anywage Mbege!Huyu shida yake ni matani ya kitaa kwenda nayo ofisin, Chalamila kitaa yupo vizuri sana , may be huwa anajisahau,
Mfano juzi boss wake anakemea vitendo vya police , yeye anatoa mapingamizi , ila mtu poa sana tu