Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Kwa hiyo, anamaanisha Yesu alimchagua 'shetani' kuwa kiongozi wa kanisa maana Yesu mwenye alimwambia Petro "Nami nakuambia wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu na wala milango ya kuzimu haitalishinda" (Matayo 16:18).
Maneno ya shetani yalipitia kwenye kinywa cha Petro na ndiyo Yesu alikuwa akikemea na kumtoa huyo shetani ila Petro alimpenda sana Yesu!