RC Chalamila: Rais hawajaanza kukukatisha tamaa wewe, hata Yesu alikatishwa tamaa na Petro na Kristo akamwambia "Toka Shetani"

Kama taifa tuna hali mbaya kama hadi mkuu wa mkoa anakua chawa kiasi hiki sisi jobless tufanyaje sasa

Ni hiyo million sita tu kwa mwezi inamfanya hivi ama kuna kingine anapata.
 
 
Chawa mwingine huyu anayeendeshwa na mihemko ya bangi anazovutia chooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…