Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Kama taifa tuna hali mbaya kama hadi mkuu wa mkoa anakua chawa kiasi hiki sisi jobless tufanyaje sasa
Ni hiyo million sita tu kwa mwezi inamfanya hivi ama kuna kingine anapata.
Ni hiyo million sita tu kwa mwezi inamfanya hivi ama kuna kingine anapata.