RC Chalamila: Shule ya Ubungo NHC haiuzwi, inaboreshwa

RC Chalamila: Shule ya Ubungo NHC haiuzwi, inaboreshwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii kulizagaa taarifa kuwa Shule ya Msingi National Housing iliyopo Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es asalaam inauzwa, kiasi cha kuzua taharuki miongoni mwa wazazi na jamii.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika shuleni hapo kukutana na viongozi wa mamlaka za Manispaa na baadhi ya wawakilishi wa wazazi na kusisitiza kuwa hakuna mpango wowote wa kuuza shule hiyo.

Hatua za ukarabati zilizoanza kufanyika katika shule hiyo na uvumi wa kuhamishwa kwa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo ziliwashtua wazi na wananchi wa eneo hilo na kuhisi kuwa shule hiyo imeuzwa kwa muwekezaji.
Pia soma:
~
Halmashauri Ya Ubungo yakanusha taarifa za kuuza shule ya Msingi Ubungo NHC
~ Taharuki yazuka, Wazazi wajaa Shule ya Msingi Ubungo NHC baada ya taarifa kuwa shule inauzwa
 
Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii kulizagaa taarifa kuwa Shule ya Msingi National Housing iliyopo Manispaa ya Ubungo Jijini Dar es asalaam inauzwa, kiasi cha kuzua taharuki miongoni mwa wazazi na jamii.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika shuleni hapo kukutana na viongozi wa mamlaka za Manispaa na baadhi ya wawakilishi wa wazazi na kusisitiza kuwa hakuna mpango wowote wa kuuza shule hiyo.

Hatua za ukarabati zilizoanza kufanyika katika shule hiyo na uvumi wa kuhamishwa kwa wanafunzi wanaosoma shuleni hapo ziliwashtua wazi na wananchi wa eneo hilo na kuhisi kuwa shule hiyo imeuzwa kwa muwekezaji.
Pia soma:
~
Halmashauri Ya Ubungo yakanusha taarifa za kuuza shule ya Msingi Ubungo NHC
~ Taharuki yazuka, Wazazi wajaa Shule ya Msingi Ubungo NHC baada ya taarifa kuwa shule inauzwa
Unaona ulaghai, eti inaborehwa. Stupid uu mtu. Mnaboresha bila taarifa kwa wazazi na inakuwa English medium, hawa watoto watarudi pale ? stupid!
 
Unaboresha Kwa kusitisha kufundisha watoto
 
Back
Top Bottom