Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mkuu wa Mkoa wa Dar, bwana Chalamila akiwa Ikulu leo amesema ukijiona una miaka 40 au zaidi na huna hela usimlaumu Rais kwani unakuwa umezaliwa wakati wa Mwalimu na katikati vimepita vipindi vingi vya uongozi, akidai kwanini alaumiwe mtu mwenye miaka mitatu kwenye uongozi.
Chalamila amesema wajibu wa Serikali ni kuandaa mazingira yatayokuwa rafiki ili kumsaidia mtu kuchemka na fursa ambazo zimeshaletwa na Serikali.
Chalamila amemaliza kwa kusema lawama ni tamko la laana linalofanya mtu ajisahau pale alipokosea na kutojisahihisha akidhani yupo alivyo kasababu ya sababu ambazo sio kweli.
Chalamila amesema wajibu wa Serikali ni kuandaa mazingira yatayokuwa rafiki ili kumsaidia mtu kuchemka na fursa ambazo zimeshaletwa na Serikali.
Chalamila amemaliza kwa kusema lawama ni tamko la laana linalofanya mtu ajisahau pale alipokosea na kutojisahihisha akidhani yupo alivyo kasababu ya sababu ambazo sio kweli.