RC Chalamila umetuumbua wengi, tuliamini Dar es Salaam hutaiweza

RC Chalamila umetuumbua wengi, tuliamini Dar es Salaam hutaiweza

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kiongozi CHALAMILA kipindi anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akitokea mkoa wa Kagera wengi TULIAMINI kwamba hataiweza Dar.
Ila naona hekima yake Iko juu sana
Anavyosuluhisha migogoro na changamoto za Dar Yuko vizuri mno.

Dar imetulia hakuna panya road, migogoro ya machinga, up jambazi n.k
Biashara zinafanyika usiku na mchana,
Ujenzi wa masoko n.k

Nampongeza sana RC CHALAMILA
Viongozi wengine muige huyu mhehe.
Yuko poa kabisa
 
Ngoja nione sakata la Machinga Simu 2000 anavyolishughulikia kwa weledi wa hali ya juu sana.
 
Kiongozi CHALAMILA kipindi anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akitokea mkoa wa Kagera wengi TULIAMINI kwamba hataiweza Dar.
Ila naona hekima yake Iko juu sana
Anavyosuluhisha migogoro na changamoto za Dar Yuko vizuri mno.

Dar imetulia hakuna panya road, migogoro ya machinga, up jambazi n.k
Biashara zinafanyika usiku na mchana,
Ujenzi wa masoko n.k

Nampongeza sana RC CHALAMILA
Viongozi wengine muige huyu mhehe.
Yuko poa kabisa
Punguza Uchawa mtoto kiume...

Alichoweza ni kuropoka tu hovyo kama mtu aliyeanza kurukwa na akili..
 
Kiongozi CHALAMILA kipindi anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akitokea mkoa wa Kagera wengi TULIAMINI kwamba hataiweza Dar.
Ila naona hekima yake Iko juu sana
Anavyosuluhisha migogoro na changamoto za Dar Yuko vizuri mno.

Dar imetulia hakuna panya road, migogoro ya machinga, up jambazi n.k
Biashara zinafanyika usiku na mchana,
Ujenzi wa masoko n.k

Nampongeza sana RC CHALAMILA
Viongozi wengine muige huyu mhehe.
Yuko poa kabisa
wewe na chalamila akili zenu zina fanana kuanzia kwenda kujisaidia mpaka kwenda bar
 
Kiongozi CHALAMILA kipindi anateuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akitokea mkoa wa Kagera wengi TULIAMINI kwamba hataiweza Dar.
Ila naona hekima yake Iko juu sana
Anavyosuluhisha migogoro na changamoto za Dar Yuko vizuri mno.

Dar imetulia hakuna panya road, migogoro ya machinga, up jambazi n.k
Biashara zinafanyika usiku na mchana,
Ujenzi wa masoko n.k

Nampongeza sana RC CHALAMILA
Viongozi wengine muige huyu mhehe.
Yuko poa kabisa
Ila huku Kijitonyama bado naona vibaka wanaongezeka, tunahitaji doria ya ukweli au la serikali ituruhusu tu sie raia kuwaua.
 
Kuongoza Dar sio kazi,

1.Unasubiri mafuriko jangwani Fasta unawahi na vijiko kutoa tope pale ufungue njia.
2.Wafanyabiashara wakigoma sio shida kwajo sababu ni TRA.
3.Unasubiri hafla za Rais ualikwe kutoa neno unasema Mkoa uko salama.
4.Shule nyingi za Dar ni nzuri kiasi.
 
Kuongoza Dar sio kazi,

1.Unasubiri mafuriko jangwani Fasta unawahi na vijiko kutoa tope pale ufungue njia.
2.Wafanyabiashara wakigoma sio shida kwajo sababu ni TRA.
3.Unasubiri hafla za Rais ualikwe kutoa neno unasema Mkoa uko salama.
4.Shule nyingi za Dar ni nzuri kiasi.
Sawa mkuu
 
Chalamila yupi?. Huyu wa Kariakoo?. Au huyu aliyesababisha mlinzi afe kisa kukimbizana na makahaba.
 
Back
Top Bottom