RC Dodoma ashauri kutoza faini ya Tsh. 10,000/- kwa wasioimba wimbo wa Taifa

RC Dodoma ashauri kutoza faini ya Tsh. 10,000/- kwa wasioimba wimbo wa Taifa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
 
Hajafafanua inatakiwa kuimba sehemu gani na wakati gani?

Halafu hiyo sheria imepitwa na wakati, kuwatoza faini kwa kutoimba wimbo wa Taifa huku tayari mumewabebesha Tozo sio poa, sio poa madam mkuu wa mkoa.
 
background-banner-colors-country-wallpaper-preview.jpg

Mungu ibariki Tonzonia!
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Akili kisoda.....toa wigi ndo uongee kila kukicha mnawaza teuzi ndo shida
 
Uzalendo haulazimishwi , watendeeni raia haki uzalendo utatoka moyoni mwao "haki huinua taifa" kwa mataifa mengine viwanjani kabla mechi haijaanza watu wanaimba wimbo wa taifa huku wanalia wengine tabasamu !! Ila Bongo hapana kwa kweli mimi hata huwa sisimami nikipita sehemu wanaimba 😀😀 Labda iwe kambi ya jeshi
 
Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
Akili ya Rose ninayemjua haikuwa hivi tukiwa duniani
 
Nchi ya kidikteta hii na mara kwa mara CCM wanawakumbusha.
 
Back
Top Bottom