RC Dodoma ashauri kutoza faini ya Tsh. 10,000/- kwa wasioimba wimbo wa Taifa

RC Dodoma ashauri kutoza faini ya Tsh. 10,000/- kwa wasioimba wimbo wa Taifa

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.
Kuna mtu alipendekeza;
  1. Wimbo wa "Tazama ramani utaona nchi nzuri" ndiyo uwe wimbo wa taifa kutokana na maudhui yake
  2. Vinginevyo uliopo uondolewe maneno "wabariki viongozi wake" kwakuwa wengi wao ni wezi wakubwa
 
Tunakusaidia kwenye hili

Tatizo sio SHERIA, TATIZO ni wapi tulijikwaa vijana wakapoteza uzalendo wao!!?

Ule uzalendo ule wa kuwa tayari kuheshimu tunu za Taifa kwanini umepotea!?nani alaumiwe!?

Je nyie viongozi mnauonyesha na kuuishi huo uzalendo hadi vijana wakaiga!!?

Tukitambua hilo baas tumepona!!
 
Tatizo sio SHERIA, TATIZO ni wapi tulijikwaa vijana wakapoteza uzalendo wao!!?

Ule uzalendo ule wa kuwa tayari kuheshimu tunu za Taifa kwanini umepotea!?nani alaumiwe!?
Uzalendo ulitoweka viongozi walipoanza kuzoa mali za public na kujineemesha, kuweka wanafamilia wao kwenye nafasi za uongozi ili kulinda maslahi yao na kutetea mabaya waliyofanya nyuma
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Mbona kama alikuwa ndotoni . Huo wimbo wa taifa unaimbwa wapi?
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Kamwe hawawezi kujua hawajui, bali huamini wapo safarini na watafika salama.
IMG-20151022-WA0031.jpg
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Ulevi wa madaraka ni sosona mpya kwa watawala.

Wanapitia magumu, sasa wanatafuta kaupenyo hata kadoogo ka kuwabana wananchi wajue viongozi ndo wameshikilia hatma za maisha yao
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Ni ushauri wake, lakini ni wa kipumbavu mnooo.
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Hawa kenge huwa wanatoka wapi?wameajiliwa vipi?wanaelimu gani?badala ya kujadili matatizo ya msingi anajadili kuimba wimbo wa Taifa.
Huku mwingine anakuambia ukikutwa upo "macho juu juu"basi wewe ni kibaka!!
Nchi Haina viongozi wenye akili
 
Nukuu:

“Kumekuwa na tabia iliyojitokeza ya kutoimba wimbo wataifa mpaka nikajiuliza kuimba nijambo la kisheria, kisera au Niutaratibu ,sasa kama ni jambo la kisheria Mhe. Waziri watu wengi wanafanya mzaha kwenye kwenye kuimba wimbo wa Taifa kwakweli watu waliokuwa wanaimba hapa hawatii maadili ya wimbo wa taifa linaonekana kama ni jambo dogo lakini ni jambo kubwa ambalo linaonesha uzalendo wa Taifa letu.

Kama itawezekana, itungwe adhabu ndogondogo kwa ambao hawataimba na kutii sheria wakati wa wimbo wa Taifa watozwe adhabu ndogo ndogo kama elfu kumi waone kuimba wimbo wa taifa ni haki na sheria.”

RC - DODOMA SENYAMULE
View attachment 2360062
Hivi uyu nae walimtoa wapi ,kupeka makao makuu na kumuondoa Mtaka, watu wanaiba pesa za wananchi huko yeye anakuja na ngojera eti uzalendo katika kuimba wimbo wa Taifa,
Nani ataimba wakati hajashiba? Leo Mchele kilo 3000,
 
Uzalendo haulazimishwi , watendeeni raia haki uzalendo utatoka moyoni mwao "haki huinua taifa" kwa mataifa mengine viwanjani kabla mechi haijaanza watu wanaimba wimbo wa taifa huku wanalia wengine tabasamu !! Ila Bongo hapana kwa kweli mimi hata huwa sisimami nikipita sehemu wanaimba [emoji3][emoji3] Labda iwe kambi ya jeshi
Hakika.Uzalendo hutoka moyoni.Angalia Waingereza wanavyo simama kwenye foleni kwa zaidi ya saa 20 ili kumuaga bibi yao.
 
Hakika.Uzalendo hutoka moyoni.Angalia Waingereza wanavyo simama kwenye foleni kwa zaidi ya saa 20 ili kumuaga bibi yao.
Kweli mkuu , watu wanaona kila kinachoendelea ,watu wana uhuru wa kutoa maoni , gharama za maisha zinaendana na hali zao halisi !! Haki za binadamu zinafuatwa ! Utaacha kusimama kuaga mwili kiroho safi 😀😀😀 Halafu huku tumekazana uingereza hawana demokrasia ambayo tumesoma darasani kukaririshwa😀

Sasa mtu anatoka dukani kununua sabuni mche 4k nikute mnaimba wimbo wa taifa nitausikia kweli ? Na hela nimetoa pungufu kwenye muamala kwa ajili ya makato

Na bado wanachukua hizo Tozo lakini dharau kibao na hela hatuoni inachotusaidia zaidi ya wachache kuifaidi , uzalendo wa nini ndo maana wengine wakijichokea wanasema bora wote tukose !! Machafuko na maasi yanaanzia hapo!!
 
Back
Top Bottom