Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Kasome SOSPA 1998,no consent from under 18,sasa we jichanganye kisa mmekubalianaand how do you find a victim cause most of the time the act is consensual?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome SOSPA 1998,no consent from under 18,sasa we jichanganye kisa mmekubalianaand how do you find a victim cause most of the time the act is consensual?
Sheria haipo lakini wazo lake ni zuri sanaaa. Vitoto vinajilengesha, vikipata mimba mwanaume anafungwa.Imezoeleka katika suala la mimba mashuleni anayepewa adhabu kisheria Huwa ni mwanaume lakini kwa mkuu wa mkoa wa Singida Halima Omari Dedengo haiwi hivyo , amesema mwanafunzi wakike atakayebeba ujauzito atakuwa mshtakiwa wa kwanza na aliyempa mimba anakuwa mshtakiwa wa pili na wote watapelekwa jela.
Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.
Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.
Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.
I know of statutory rape, nilichouliza mimi ni kwanini umchukulie msichana victim ilhali karidhia? Siongelei sheria inasema nini naongela uhalisia wa jambo.Kasome SOSPA 1998,no consent from under 18,sasa we jichanganye kisa mmekubaliana
Huyu RC naye hana akili kama MakondaI know of statutory rape, nilichouliza mimi ni kwanini umchukulie msichana victim ilhali karidhia? Siongelei sheria inasema nini naongela uhalisia wa jambo.
Najua kauli ya RC haina mashiko yeyote mbele ya sheria lakini haibadilishi kuwa kuna wakati hii sheria ya kumbana mwanaume tu huwa ni kandamizi.
Sikupingi chief wala kusema haupo sahihi, natofautiana mtazamo na wewe tu. Tukubaliane kutokukubaliana.
Peace.
Kwa Sheria gani ambayo itatumika kuwatia hatiani hao Wanafunzi wa kike?Imezoeleka katika suala la mimba mashuleni anayepewa adhabu kisheria Huwa ni mwanaume lakini kwa mkuu wa mkoa wa Singida Halima Omari Dedengo haiwi hivyo , amesema mwanafunzi wakike atakayebeba ujauzito atakuwa mshtakiwa wa kwanza na aliyempa mimba anakuwa mshtakiwa wa pili na wote watapelekwa jela.
Ameyasema hayo katika shule ya Sekondari kitaraka iliyopo halmashauri ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida wakati akiwa katika ziara ya kikazi alipotembelea kuona ujenzi wa nyumba za walimu.
Aidha mkuu wa mkoa ametoa wiki moja kwa mkurugenzi kuhakikisha kunakuwa na mwalimu wa kike mmoja wa kuanzia.
Kwa upande wake Dkt. Fatuma Mganga katibu tawala mkoa wa Singida akamtaka Mkurugenzi kuhakikisha kila mwanafunzi anapewa mti wakupanda Ili kuendelea kutunza mazingira.
Ofcoz hii sheria ilitungwa kwa jazba sana labda kutokana na nature ya kosa na impact yake kwa jamii.I know of statutory rape, nilichouliza mimi ni kwanini umchukulie msichana victim ilhali karidhia? Siongelei sheria inasema nini naongela uhalisia wa jambo.
Najua kauli ya RC haina mashiko yeyote mbele ya sheria lakini haibadilishi kuwa kuna wakati hii sheria ya kumbana mwanaume tu huwa ni kandamizi.
Sikupingi chief wala kusema haupo sahihi, natofautiana mtazamo na wewe tu. Tukubaliane kutokukubaliana.
Peace.
Kwani kabakwa?Victim anakua mshitakiwa namba moja!! CCM hawataki kukubari ukweli
Hana akili kivipi labda ,we unadhani hivi vibint vya sasa kuna kinacho bakwa? Hata kama kina miaka 24?Huyu RC naye hana akili kama Makonda
Kuna fact nyingi za kusababisha mimba, umasikini, mila na desturi, umbali wa kutoka nyumbani kwenda shule n.k, wao wanatakiwa kutengeneza miundombinu ya shule wanafunzi wabaki shuleni na siyo kutembea kwa miguu 20km kwenda na kurudi na huku akitegemea lift kutoka kwa bodaboda.Hana akili kivipi labda ,we unadhani hivi vibint vya sasa kuna kinacho bakwa? Hata kama kina miaka 24?
Nampenda sana Halima, alikuwaga rafiki yangu sana wakati akiwa DC!Huyu dada ilinifanyiaga insani sitomsahau ktk maisha yangu... Long Live mrembo Halima.......
Kwa hiyo ulitaka aongeeje? Unazijua lugha za majukwaani wewe? Tuache ujinga!Anajitoa fahamu tu, anaongea ujinga tu.
Umbali ni sababu nyepesi, sana na impact yake ni ndogo sana tatizo kubwa ni mmomonyoko wa maadili uliopo kwa wazazi na utandawazi ulio shindikana kudhibitika tanzania l, watoto wako huru kuanza umalaya wangali wadogo na wapo huruKuna fact nyingi za kusababisha mimba, umasikini, mila na desturi, umbali wa kutoka nyumbani kwenda shule n.k, wao wanatakiwa kutengeneza miundombinu ya shule wanafunzi wabaki shuleni na siyo kutembea kwa miguu 20km kwenda na kurudi na huku akitegemea lift kutoka kwa bodaboda.