RC HOMERA KUONGOZA UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA- MBEYA

RC HOMERA KUONGOZA UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA- MBEYA

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera atakuwa Mgeni rasmi kwenye Uzinduzi wa Kampeni kubwa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa ajili ya kuwasaidia na kuwashauri wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria.

Uzinduzi huu utafanyika Jumatatu hii Februari 24, 2025 kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe. Wote mnakaribishwa.

"Msaada wa Kisheria kwa Haki, Usawa, Amani na Maendeleo."
 

Attachments

  • FB_IMG_1740134182054.jpg
    FB_IMG_1740134182054.jpg
    107.9 KB · Views: 2

MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA- MBEYA❌​

1:-MISAADA YA KISHERIA YA MAMA SAMIA-MBEYA☑️
2:-MSAADA WA KISHERIA WA MAMA SAMIA-MBEYA☑️
 
Kwahiyo mama samia ndio atakuwa anakuja kutusaidia au atakuwa anatupatia mawakili bure? What's the meaning of this mama samia everywhere.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera atakuwa Mgeni rasmi kwenye Uzinduzi wa Kampeni kubwa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa ajili ya kuwasaidia na kuwashauri wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria.

Uzinduzi huu utafanyika Jumatatu hii Februari 24, 2025 kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe. Wote mnakaribishwa.

"Msaada wa Kisheria kwa Haki, Usawa, Amani na Maendeleo."
Naona Watawala Wanasiasa wanahangaika. Suluhisho sahihi kabisa na la uhakika kuhusu masuala haya ya Migogoro ya kisheria na ya kiutawala litapatikana baada ya kufumua kabisa na Kurekebisha Katiba iliyopo hivi Sasa sambamba na kufanya marejeo au marekebisho makubwa ya Sheria zilizopo na kuweka Mfumo mzuri zaidi wa Utungaji wa Sheria za nchi kwa kuweka Kipengele Kitakachoilazimisha Serikali kuwashirikisha Wananchi wengi zaidi kwenye mchakato mzima wa Utungaji wa Sheria.
 
Back
Top Bottom