RC Kafulila: TAKUKURU chunguzeni mkataba wa ujenzi wa ofisini yangu

Kafulila yuko vizuri sanaaaaa, RCs wengine kazi kwenu, Msaidieni Rais Samia Suluhu Hassan
 
Aaaaha! TAKUKURU anao kwenye vikao deilee, kaona afufuke, hasikiki!

Nje ya mada, hivi TAKUKURU huwa wanachunguza vitu randomly tu tokea kwenye matamko. Au huwa wana utaratibu rasmi!? Wa memo na maelekezo ya maandishi!?!
 
Aaaaha! TAKUKURU anao kwenye vikao deilee, kaona afufuke, hasikiki!

Nje ya mada, hivi TAKUKURU huwa wanachunguza vitu randomly tu tokea kwenye matamko. Au huwa wana utaratibu rasmi!? Wa memo na maelekezo ya maandishi!?!
RC akitoa tamko,Katibu tawala anawaandikia barua,lakini hawasubiri barua,Takukuru ni chombo cha uchunguzi.RC ni mwakilishi wa Rais
 
Aaaaha! TAKUKURU anao kwenye vikao deilee, kaona afufuke, hasikiki!

Nje ya mada, hivi TAKUKURU huwa wanachunguza vitu randomly tu tokea kwenye matamko. Au huwa wana utaratibu rasmi!? Wa memo na maelekezo ya maandishi!?!
Ukiona hivyo 10% ya ujenzi hajapewa ni mla rushwa mzuri sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…