RC Katavi awaomba waganga wa jadi waroge wananchi ili wajitokeze kupiga kura za Serikali za Mitaa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885


Hii ni kauli ya kishujaa iliyotolewa Mkoani Katavi na Mh Juma Homera akijaribu kuhakikisha kila mwenye uwezo wa kupiga kura anashiriki kikamilifu kujitokeza na
kuwachagua viongozi bora.

Kila Mganga ameelekezwa kutumia kila kifaa chake kikamilifu ili kuwaroga wananchi kama njia ya mpya ya uhamasishaji na ya kisasa .
 


Hii ni kauli ya kishujaa iliyotolewa Mkoani Katavi na Mh Juma Homera akijaribu kuhakikisha kila mwenye uwezo wa kupiga kura anashiriki kikamilifu kujitokeza na
kuwachagua viongozi bora.

Kila Mganga ameelekezwa kutumia kila kifaa chake kikamilifu ili kuwaroga wananchi kama njia ya mpya ya uhamasishaji na ya kisasa .

Chanzo : EA TV
 
Weka clip
 
Tatizo majina ya ubini na mama zao hawayajui...

Labda wapelekewa madaftari ya kujiandikisha...


Cc: mahondaw
 
Nayeye tayari kesha nyweshwa sumu ya kina Wakudadavua
 
Hapa ndiyo tunazidi kuamini kuwa ndani ya ccm kila jambo linawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…