The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amewaeleza wananchi kufanya kazi na kushirikiana na serikali na kuongeza kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipomteua alimuagiza asimamie haki za wananchi pamoja na kusimamia fedha za miradi ya maendeleo katika mkoa huo
Kenani Kihongosi amesema hayo alipokuwa anazungumza na wananchi katika Machimbo ya Ikinabushu mkutano uliohudhuriwa na Maelfu ya Wananchi.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu wa mkoa wa Simiyu ameendelea na ziara yake ya kikazi katika kata mbalimbali ziara ya kutatua na kusikikiza changamoto za wananchi katika Mkoa huo.
Kenani Kihongosi amesema hayo alipokuwa anazungumza na wananchi katika Machimbo ya Ikinabushu mkutano uliohudhuriwa na Maelfu ya Wananchi.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu wa mkoa wa Simiyu ameendelea na ziara yake ya kikazi katika kata mbalimbali ziara ya kutatua na kusikikiza changamoto za wananchi katika Mkoa huo.