#COVID19 RC Kunenge aonesha wasiwasi dozi 15,000 za Uviko-19 ambazo hazijatumika zinaweza ku expire kama hazitatumika. Aweka mikakati ya kuhakikisha zinatumika

Kaparata mkubwa, jibu hoja mkuu.
 
Waafrica weusi ni kizazi cha Hamu (mmoja wa watoto watatu wa Nuhu ) aliyelaaniwa, ingawa hata viongozi wa dini ukiwauliza wanakanusha sababu ya unafiki lakini ndio hivyo. Ukitafakari matendo ya mtu mweusi hasa wale waliosoma sana utashangaa sana.

Hata iweje mtu mweusi atabaki kuwa most hopeless kati ya races zote katika dunia hii.
Nb: ni maoni yangu kutokana na nilivyoisoma biblia na katafakari matendo ya mweusi.
 
Juzi tumezika kijana wa miaka kama 45 Covid kakaa Hosp wiki na jana tumezika mzee wake wote walikuwa wanaumwa ni siku moja tu inasikitisha sana haya mambo baadhi ya family wanayopitia. so sad
Kachanje wewe sasa
 
🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa watu wanatia huruma sana. Wanadhani uongozi ni usanii!
 
Kuna wanaoshabikia uviko 19 kuendelea kuwepo duniani.
 

Tatizo la Tanzania hata serikali hawako wazi mfano watu wanaokufa kwa Corona imewekwa siri unaambiwa kafa kwa pressure, kisukari lakini familia inasema corona. Sasa watu wanaamini kama vile corona haipo!
 
Mkuu Pwani ni jiji?
 
Tatizo la Tanzania hata serikali hawako wazi mfano watu wanaokufa kwa Corona imewekwa siri unaambiwa kafa kwa pressure, kisukari lakini familia inasema corona. Sasa watu wanaamini kama vile corona haipo!
Korona 3 imekwisha pita
 
Korona 3 imekwisha pita
Ndiyo inapita lakini kuchanya ni muhimu maana hujui inakuja ipi. Kila mtu yuko tofauti unaweza kupata isikusumbue lakini mwingine anapata inawaondoka kama wale wapendwa wetu
 
Waliochoma si warudie tena mana nimesikia DOUBLE JAB haina shida eti.
 
Ndiyo inapita lakini kuchanya ni muhimu maana hujui inakuja ipi. Kila mtu yuko tofauti unaweza kupata isikusumbue lakini mwingine anapata inawaondoka kama wale wapendwa wetu
Nani alikuambia aina mpya ya korona inatumia chanjo ya zamani ,tena walio chanja mbona wanakufa kwa kovidi mfano ni hans poppe
 

JPM kwenye Corona Alicheza Kama Pelle
 
Mh. Mbowe alipowaambia chanjo isiwe hiari mlimuona mjinga..

CCM bana sijui ni chama cha namna gani hiki; haya msipokiwa makini yana ekisipaya yoote.
 
Kwa hiyo Mbeya waliokea chanjo 50000 na Dar 30000!? Wanasiasa kuwaamini na kuwaelewa yahitaji moyo.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mwenyewe nashangaa maoni mengine hadi unajiuliza hivi huyu ni great thinker kweli, watu wanakufa halafu watu wamaleta utani. Hii kitu ipo sana, lakini athari zake kwetu Africa hajafikia ulaya. Tusilete utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…