minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Je? Amejipanga kuzuia wizi wa kura uchakachuaji wa CCM? Kajipanga vipi kwa hilo maana pasipo na Haki ndipo penye vuruguRudia kusoma na ufuate taratibu na sheria za uchaguzi
"Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa onyo kali kwa watu au vikundi vya watu vilivyopanga kufanya fujo siku ya uchaguzi ambapo ameeleza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vizuri kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na usalama."
Uwashauri na wenzio☺