JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Tunaomba kujuzwa.
Kamati ya kuchunguza kuungua kwa soko la Karume imekwama wapi?
Tunataka kuendelea na biashara zetu hapa Karume.
Pia soma > DC Ilala: Siku ya 8 Ripoti ya Uchunguzi wa moto Soko la Karume itasomwa mbele ya Waziri wa Tamisemi, RC DSM na Wamachinga wote, kisha watarejeshwa
Kamati ya kuchunguza kuungua kwa soko la Karume imekwama wapi?
Tunataka kuendelea na biashara zetu hapa Karume.
Pia soma > DC Ilala: Siku ya 8 Ripoti ya Uchunguzi wa moto Soko la Karume itasomwa mbele ya Waziri wa Tamisemi, RC DSM na Wamachinga wote, kisha watarejeshwa