RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

Nako watawawinda,[emoji3]
Kule ngumu coz kuna makubaliano ya aina mbili

1. Malaya anakuja unapotaka wewe geto kwako au gesti
2. Kuna malaya wana vyumba vyao unawafata..

Sasa polisi hapo hata akijifanya mteja sijui ka italeta maana yoyote mana itakua sawa tu na wewe unavomuita demu wako gesti afu unamtumia nauli au unaenda kugonga demu geto kwake afu unamtoa 30 ya kusuka...

Kwa kifupi washafeli....
 
Kuna wakati wauza miili yao walipungua baada ya kuanza kuelimishwa na kuwezeshwa.

Wanaoongeza idadi ya sexual workers ni hao hao waheshimiwa kwa sababu fedha za kuwajengea uwezo wanawake wanazila bila huruma
 
Hana Kazi za kufanya mpeni majukumu yake ayajue.Kaingia mjini kwa pupa.
Watu wanajiuzia mali zao kinamuwashia nini.Hao viumbe wamesaidia kupunguza ubakaji.
Dar sio Mwanza RC
 
Kuna wakati wauza miili yao walipungua baada ya kuanza kuelimishwa na kuwezeshwa.

Wanaoongeza idadi ya sexual workers ni hao hao waheshimiwa kwa sababu fedha za kuwajengea uwezo wanawake wanazila bila huruma
Pride na kiwohede vilisaidia Sana kuwaelimisha.Sidhani kama wanapenda kuuza awaite awape seminar na mitaji wajiajiri
 
Apambane na machinga ndo size yake huko atoweza.
Hao police ndo wateja wao na uchukua posho pia.Asianze matamko kama ya bashite.
 
Hayo machimbo ni makongwe wala hayahitaji ufichuzi wowote..labda useme massage centers
Ukihitaji hii huduma pendwa popote iwe dar au mkoani au ugenini,mtafute bodaboda yeyeto anakuletea hadi ulipo, bodaboda wote ndio maajent wao.
 
Makalla badala ya kuhangaika na mambo ya msingi anahangaika na petty issues. Sasa akiwazuia kujiuza yeye ndiye atakuwa ana wapa pesa za matumizi?
Uyo makala ni kichwa maji kumbe ivi hawa viongoz yan vitu wanaeza fanya karne hii ndo ivo tu? kweli tuna safari ndefu sana waafrica amekaa ofisin akaona dsm tatizo ni malaya ndo tatzo kubwa?
 
Wiki haijaisha TU?
Mlioko dar mtujuze, biashara imekufa
 
Kwenye hizo massage centres ni uovu ná uchafu kiwango cha kufuru
 
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..Sasa wenye midomo mizito kama tumebugia zege tutapataje mademu wa kupunguzia nyege zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…