RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

RC Makalla atoa Wiki moja kukomeshwa biashara ya ngono, awataka Polisi kuvaa kiraia na kujifanya wateja

Hakuna sheria inayomzuia mtu kufanya ngono kwa hiari akiwa ana miaka 18 au zaidi na sio mwanafunzi wa shule, na ni vigumu kudhibitisha mahakamani kwamba alikua nafanya biashara ya kuuza mwili wake.

Kinachoweza kufanywa ni kutatua sababu zinazowafanya wafanye hivyo.

Swala la kufanya ngono na mwanamke na kumlipa fedha lipo kwa wanawake wengi hata wale ambao hawaendi sehemu maalum.
 
Nafikiri shida ni kufanya biashara ktk makazi ya watu (mtaani)
wakitaka wakafanyie kwenye clubs na casinno au maeneo ya mjini huko
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
askari anaenda, anaachiwa na kutingishiwa matako makubwa yakiwa wazi kabisa. Afu anaambiwa baby liokote, chukua lote bure ni lako baby. Askari analegea na silaha anatupa chini.

Sasa kwamtindo huo inakuwa hamna cha kukamatwa mtu wala cha nini, bali inageuka kuwa fursa kwa maaskari kujiokotea k za burebure.
 
𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐢 𝐟𝐮𝐫𝐬𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚𝐚𝐚
𝐧𝐚𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐟𝐞𝐤𝐢 𝐧𝐢𝐤𝐚𝐥𝐞 𝐦𝐳𝐢𝐠𝐨 𝐛𝐮𝐫𝐞
 
Ingefaa hii biashara ihalalishwe... Serikali iwe inachukua Kodi na kuwepo sehemu maalum kwa biashara hii...

Kuzuia haitowezekana.
 
Dalili za kukosa ubunifu na kukosa kazi za kufanya.

Hii biashara imekuwapo hata kabla ya nabii Issa.

Hii biashara iko duniani kote na katika miji yote.

Wewe kama si mteja au mdau inakuhusu nini?

Hivi wa machinga kesha malizana nao?
Mkoa umemshinda mapema sana bwana huyu
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa naomba nikufahamishe kwamba hiyo biashara huiwezi, hutakuja kuiweza, na hakuna mtu atakuja kuiweza hata angeamua Magufuli kuifatilia asingeweza, hata umtume nani hataweza, hata uende mwenyewe kukamata hutaweza.

Tena kwa Polisi ndio umebugi kabisa, wataishia kula mzigo na kupata visenti kidogo wanarudi zao home.

Mheshimiwa kule zinakofanyika hizo biashara kuna mizigo ambayo hata wewe mwenyewe ukienda unaweza kusahau lengo lako la kukamata, kule kuna totoz ambazo ukikutana nazo mchana ukaambiwa zinajiuza utarusha ngumu ukijua ni uongo.

Mheshimiwa jamii ina mahitaji mengi mkoani kwako, nashauri elekeza nguvu zako mahala pengine, kwa mfano kule njia ya Mbagala ile barabara ya mwendo kasi inayojengwa imepelekea foleni sana hebu wasisitize waongeze speed..

Kuna maeneo mengine maji sio uhakika shughulikia mkuu, kuna sehemu umeme inakuwa kama ni msaada tu tusaidie kupata umeme

Good morning Mheshimiwa
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
Huyu ana mpango wa kuua polisi wetu kwa UKIMWI
 
Umalaya ni nini ?

Kulipana baada ya mapatano?
Kupatania Guest ?
au Kufanya Tendo ?
au Kutangaza Tendo ?
Au kukaa ukisubiri mteja ? (Ila kabla mteja hajaja / hajapatikana) hapo kosa bado au tayari...

Na kama tatizo ni biashara na mnalipana baada je ni mpaka baada ya tendo ndio anashikwa au anashikwa tu baada ya mapatano (Je akisema alikuwa na yeye anatafuta ushahidi ili amshike mtaka ngono)?
 
Wachukue jengo la wizara moja iliyohamia dodoma waweke dangulo waanze kujikusanyia mapato ya jiji badala ya kuacha yakipotea tu na kupoteza nguvu kuzuia hiyo biashara.
 
makalla-12-1080x570-1.jpeg

Picha: Mkuu wa Mkoa Amos Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa Wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kuhakikisha wanadhibiti watu wote wanaofanya biashara ya Ngono kwenye eneo la Manzese Uwanja wa Fisi baada ya suala hilo kulalamikiwa na Wananchi.

Malalamiko hayo yametolewa wakati wa Mwendelezo wa ziara ya kusikiliza na kutatua Migogoro ya Wananchi Jimbo la Kinondoni ambapo wamedai kuwa imefikia hatua biashara hiyo inahusha pia utumikishaji wa kingono kwa watoto wadogo Jambo ambalo ni kinyume na sheria na maadili.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Jeshi la Polisi kuwatuma askari watakaovaa nguo za Kiraia na kuwanasa watu wote wanaofanya biashara ya ngono.

Aidha RC Makalla ameelekeza Viongozi wa kata na Mtaa huo kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa kutosha kumaliza suala hilo.

Bongo Five
Shida Polisi wenyewe sio waminifu, watawakusanya na kujipigia mizigo wakasau walichotumwa!!
 
Mkuu huyu atawapa alternative gani wateja wa hao Dada utamu?
Hajui kwamba be NATURE ABHORS A VACUUM ?
Hiyo biashara Ni Kama biashaara ya pombe, lazima watu wawe na pressure valve ya ku release stress.
 
Back
Top Bottom