#COVID19 RC Makalla: Daladala Dar es Salaam zibebe abiria level seat wanafunzi watano watasimama na wote wavae barakoa!

#COVID19 RC Makalla: Daladala Dar es Salaam zibebe abiria level seat wanafunzi watano watasimama na wote wavae barakoa!

Huaga najiuliza sana kabla ya viongozi wetu hawajanena chchte hua wanafikiria kweli na kufanya research ya usafiri wa hapa dar kwasababu nauhakika sehem nyingi za hapa dar usafiri hautoshi kabsa halaf kuna mtu analeta tena level seat ..
 
Huyo ndo Amos Makalla.

RC wa Daesaama.

😉
 
Na mafuta yalikua chini mafuta yamepanda zaid ya buku na kitu bado wakaongeza tozo zao hawa jamaa ni viazi
Nilisema hapa miezi mitano ilopita kwamba haya yangetokea na hatupaswi kupiga kelele.

Maana tumeyataka wenyewe.
 
Huaga najiuliza sana kabla ya viongozi wetu hawajanena chchte hua wanafikiria kweli na kufanya research ya usafiri wa hapa dar kwasababu nauhakika sehem nyingi za hapa dar usafiri hautoshi kabsa halaf kuna mtu analeta tena level seat ..
Yeye muda wote yuko ndani ya LAND CRUISER V8 la milioni 400 anapigwa kiyoyozi laini na kunesa nesa — Haelewi na hajali lolote kuhusu usafiri wa umma.

Ni mwendo wa kuropoka tu kama amekatwa kichwa.
 
Wanafunzi 5x5m distance apart. Hiyo ni dala dala au ni tram? Kuna daladala yenye ukubwa wa 82 ft?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda mwendokasi
 
Back
Top Bottom