Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Dodoma wameweza kufuta amri ya kijinga ya kuzuia watu kunywa bia muda wa asubuhi kwa kisingizio cha kufanyakazi. Kazi ambayo pia haipo.
Sasa Amos Makala ebu futilia mbali amri ambayo iliwekwa na Makonda zama za utawala ambao haukuwa rafiki na Wafanyabiashara. Jeshi la polisi wanatumia marufuku hii kama sehemu ya kunyanyasa raia na kujipatia Rushwa.
Mama kasema anafungua nchi sasa sisi wengine kazi zetu hazipp serikalini inakuwaje mnatukera.
Sasa Amos Makala ebu futilia mbali amri ambayo iliwekwa na Makonda zama za utawala ambao haukuwa rafiki na Wafanyabiashara. Jeshi la polisi wanatumia marufuku hii kama sehemu ya kunyanyasa raia na kujipatia Rushwa.
Mama kasema anafungua nchi sasa sisi wengine kazi zetu hazipp serikalini inakuwaje mnatukera.