Hawa wanatakiwa wachukue fremu waendelee na biashara na wapewe efd watuchangie kodiYaaani ilifikia hatua hadi vibanda vikawa vinauza bidhaa kwa jumla halafu watu wanaita eti machinga wakati ni wafanyabiashara wakwepa kodi. Machinga wapo na kila siku tunawaona wakitembeza bidhaa hadi majumbani mwetu na wataendelea kuwepo. Hao walioondolewa sio machinga bali wachafuzi wa miji na wakwepa kodi. Duka zima wanapanga barabarani
Dah wewe utakuwa mkwe wa madam prezdaaHawa wanatakiwa wachukue fremu waendelee na biashara na wapewe efd watuchangie kodi
Safi mkuu, inabidi kiongozi wa umma akifanya kazi vizuri na matokeo tunyaona kwa macho, ingalau apewe kongole.Bado naombea asije tokea mwana sihasa akamvurugia Makalla plan alizoziweka!! Nafikiria hadi mwisho wa mwezi mambo yatakuwa mazuri, na kila kitu kitakaa sawa!! Hongera sana mheshimiwa Makalla umeokoa wengi na magonjwa ya kisukari kwani sasa mjini tutaweza kutembea kama sehemu ya mazoezi
wakiweza kariakoo na posta watakuwa wameweza sana,Kariakoo bado hapa ndo penyewe lazma vurugu zitokee.
Sisi wa mikoani mtutumie kapicha wakuuSafi mkuu, inabidi kiongozi wa umma akifanya kazi vizuri na matokeo tunyaona kwa macho, ingalau apewe kongole.
Wengine waliopita Dar kama wakuu walikuwa maneno matupu yasiyo na tija na kiukweli machinga lilisha kuwa kero kubwa la kisiasa.
Nafikiri wameanza na katikati ya Jiji, Mwenge naamini watakuja safisha tu.Jiji bado halijawa sawa, ila mwanzo si mbaya amejitahidi kwa kiasi chake kwa upande wangu hawa machinga wa mwenge washughulikiwe maana ni kero kwa wapita miguu na magari
Tuliza boli, utapata tu.Picha iko wapi?
Hili liwe funzo kwa wanasiasa wanaowatumka hawa watu masikini mama mtaji wa kisiasa.Bado naombea asije tokea mwana sihasa akamvurugia Makalla plan alizoziweka!! Nafikiria hadi mwisho wa mwezi mambo yatakuwa mazuri, na kila kitu kitakaa sawa!! Hongera sana mheshimiwa Makalla umeokoa wengi na magonjwa ya kisukari kwani sasa mjini tutaweza kutembea kama sehemu ya mazoezi
Kote hadi hadi mkuranga.... geza vibanda vimebomolewa[emoji25][emoji25][emoji25]Nenda kale kwa machinga Mkuranga na upate kuhara bure bure kwa kipindupindu.
Ndo saizi yako, mjini hapawafai, hamtoshi.
Mtaani watu wanatukana balaa.
Nani kakudanganya?Kariakoo bado hapa ndo penyewe lazma vurugu zitokee.
Mbona mimi nimeandika kitimoto wewe unadai nimeandika kitumoto! Aibu kwa mnyakyusa.😁"Mbalagha za kitumoto" ndio nini hizo mkuu
Binafsi uwa simuelewi anayetetea uwepo wa ule wa wamachinga,now kuna mitaa ukipita huwezi kuamini kama upo dar,mji si msafi kivile ila at least unaweza kuimagine how mnawezaWameingi mjini toka vijijini hao.
Mji una ustaarabu wake.
Machinga hawakuwa na nguvu yoyote, walidekezwa na wanasiasa. Nilishangaa kusikia serikali imetenga billions to allocate wamachinga, huku hospitali nyingi hazina hata panadol, na madakitari wamegeuka kuwa watoa ushauri, consultants.Kweli Jiji la Dar lazima lazima lipewe mtoto wa mjini kuliendesha.
Kwa mtaji wa tamko la Rais Samia, RC Amos Makalla amelisafisha Jiji la Dar tena bila vurugu za kupigana virungu.
Kwa mtu anayejua kuongoza mass dwellings , ni lazima hatua ya kuondoa machinga imekuwa very well planned.
RC Makalla nakupa pongezi kwa hilo.
Machinga lilikuwa janga la afya
Machinga ilisababisha ajali barabarani
Machinga na vibanda ilikuwa maficho ya vibaka
Machinga hawalipi kodi.
Machinga waliziba mitaro ya usafi wa maji ya mvua.
Sasa Jiji la Dar linarudi kwenye ubora wake.
Hongera sana Amos.
Wanasiasa toka siku nyingi huwa wanatafuta mitaji rahisi.Machinga hawakuwa na nguvu yoyote, walidekezwa na wanasiasa. Nilishangaa kusikia serikali imetenga billions to allocate wamachinga, huku hospitali nyingi hazina hata panadol, na madakitari wamegeuka kuwa watoa ushauri, consultants.