pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
2025 mbali mkuu, siku tatu watu watasahau jamaa watadunda kama kawaida siku zinaenda hakuna jipya, ukiondoa wamachinga malori saa hii ndio shida kulikoHii nchi inaenda kama gari bovu!
2025 ikikaribia, wataruhusiwa Kurudi katika maeneo hayo na pongezi zitatolewa.
Hiyo picha ya kwanza hapo juu, imenisababisha nianze kujadili mengine badala ya mada. Kuna kina baba tumefikia aina hiyo ya unene? Huyu bwana mwenye kishati kidooogo kama cha mwanae hapo ni machinga ama nae ni kutoka kwa kina Makala? Hivi vitambi vipo dar tu bilashakaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
View attachment 1930594
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
View attachment 1930596
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
View attachment 1930600
Siwatetei, lakini kwa mtu kama wewe ungefanya nini? Hopeless kabisa!JIJI la DSM ljnapaswa lipanuke, tubadilike, wataalamu wa mipango miji wapo lkn hawataki kutumia taaluma zao vyema.
Mie ntampongeza baada ya amri kutekelezwaNampongeza kwa hili
Huo ni mkwara hakuna kitu kitafanyika hapo.
CCM wamepewa nchi miaka 60 wameshindwa kujenga nchi, miundombinu mibovu, hakuna open spaces kila kitu hovyo hovyo
Si angeongea na Waadishi wa Habari pale kwenye Ofisi yake kuliko kusababisha hio Super spreader.Nampongeza kwa hili
Kwani Machinga Complex imejaa?Ametoa mfano wa hayo maeneo rasmi mbali na Machinga complex?
Hao wote mijini waondolewe tu, na serikali ihakikishe hakuna mtu kurudi kuachia ili kuirudisha miji yetu iwe safi! Kila nchi ili iendelee vizuri , mipango miji na usafi utafanikiwa zaidi kwa kuwa na utaratibu wa kila mtu kufuata sheria zilizowekwa na sio kuongozwa na mihemko ya kisiasa.... matokeo yake ndo haya tunayaona vurugu mechi ktk miji yote! Kaaazi kwelikweli.Pale mwenge ile barabara ya kuingia walishafanya yao, kuingia au kugeuza gari ni mtihani hawataki hata usogelee vibanda vyao.
Big up Makala Songa mbele,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
View attachment 1930594
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
View attachment 1930596
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
View attachment 1930600
unashauri nini kifanyike ?Mkuu
Lengo lao kuu ni kufuta nyayo za JPM lakini pia vitendo wanavyowafanyia wamachinga itaibua hamasa ya visasi na chuki zinazofanana na Hamza; the aftermath is next door, they have decided to set off the safety at their own risk whether knowingly or not being aware that the community may trigger sporadic backlash at a time convenient.
At last Serikali imeamka toka usingizi wa miaka mingi.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
View attachment 1930594
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
View attachment 1930596
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
View attachment 1930600
Pole Mwanangu.. basi unapitwa !! Huku kuna bidhaa mpyampya na ushindani ktk bei.. basi unakumba fashion na kubeba mali rahisi..Huwezi amini baba nina miezi sijaenda Kariakoo ni kero kubanana kama ndizi
Asantee nanunua huku kwetu mbagara rangi nnePole Mwanangu.. basi unapitwa !! Huku kuna bidhaa mpyampya na ushindani ktk bei.. basi unakumba fashion na kubeba mali rahisi..