RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021

Hii nchi inaenda kama gari bovu!

2025 ikikaribia, wataruhusiwa Kurudi katika maeneo hayo na pongezi zitatolewa.
2025 mbali mkuu, siku tatu watu watasahau jamaa watadunda kama kawaida siku zinaenda hakuna jipya, ukiondoa wamachinga malori saa hii ndio shida kuliko
Hapo kariakoo hapafai ni kama hakuna serikali,
Ila madhara yake makubwa sana
 
Taratibu za Uongozi nchini zinashangaza sana. Walikuwa wapi wakati haya yakianza, kwani hakuna wasimamizi wa hayo maeneo ambayo wangetakiwa kuwaondoa pindi tu wanapoanza hizo biashara? Haya matatizo yapo sehemu nyingi sana Dar. Kuna watu wamejenga katikati ya hifadhi za barabara na wamepewa hadi hati miliki za viwanja hivyo na "building permit".
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

View attachment 1930594

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

View attachment 1930596


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

View attachment 1930600
Hiyo picha ya kwanza hapo juu, imenisababisha nianze kujadili mengine badala ya mada. Kuna kina baba tumefikia aina hiyo ya unene? Huyu bwana mwenye kishati kidooogo kama cha mwanae hapo ni machinga ama nae ni kutoka kwa kina Makala? Hivi vitambi vipo dar tu bilashaka
 
Pale mwenge ile barabara ya kuingia walishafanya yao, kuingia au kugeuza gari ni mtihani hawataki hata usogelee vibanda vyao.
Hao wote mijini waondolewe tu, na serikali ihakikishe hakuna mtu kurudi kuachia ili kuirudisha miji yetu iwe safi! Kila nchi ili iendelee vizuri , mipango miji na usafi utafanikiwa zaidi kwa kuwa na utaratibu wa kila mtu kufuata sheria zilizowekwa na sio kuongozwa na mihemko ya kisiasa.... matokeo yake ndo haya tunayaona vurugu mechi ktk miji yote! Kaaazi kwelikweli.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

View attachment 1930594

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

View attachment 1930596


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

View attachment 1930600
Big up Makala Songa mbele,
Tunapata shida sana watembea kwa miguu na hata kwa wenye magari.

Ila je,kiongozi wa machifu umecheck nae isije kuwa kama kiongozi flani wa moro.
 
Mkuu

Lengo lao kuu ni kufuta nyayo za JPM lakini pia vitendo wanavyowafanyia wamachinga itaibua hamasa ya visasi na chuki zinazofanana na Hamza; the aftermath is next door, they have decided to set off the safety at their own risk whether knowingly or not being aware that the community may trigger sporadic backlash at a time convenient.
unashauri nini kifanyike ?
 
Huyu sasa ndio atairudisha Dar kwenye hadhi yake
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.

Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.

=======

View attachment 1930594

RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.

- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.

- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.

- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.

- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.

- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.

View attachment 1930596


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.

RC Makalla
ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.

Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.

Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.

Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.

View attachment 1930600
At last Serikali imeamka toka usingizi wa miaka mingi.
 
Sio rahisi kama anavyofikiria. Kutoa amri ni jambo moja lakini kuiweka kwenye vitendo sio rahisi. Watu hawa waliojikusanya na kuwekeza miaka'zaidi ya mitatu kwenye huo utaratibu utawaondoa kwa juma moja? Haiwezekani! Kuwaondoa hawa wa machinga kirahisi rahisi tu. It is a process which needs a big brain behind it.
 
Back
Top Bottom