Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RC amekusikia!Na Chanika wasikusahau. Ni kero kubwa!
Kwa wanaomjua mh.RC Makalla watakushangaa....huyu mkuu wa mkoa anafanya cheap politics haya ni mambo minor sana, jiji hili lina changamoto kubwa na nyingi kuliko mambo ya wamachinga mfano miundo mbinu mibovu, wanafunzi kukaa chini, uchafu, hospitali hamna tiba ya uhakika
yes warudi Makete kunywa ulanzi.Itabidi waruci migombani!
Migombani viatu vinafuliwa kama nguo.yes warudi Makete kunywa ulanzi.
Kwani dikteta wa kike anasemaje
Mtatoka tu, imevunjwa misikiti,makanisa,taasisi za kiserikali inshindwe nyie...Hakuna mwenye uwezo huo.
Hakuna mwenye kuweza kuwatoa wamachinga.
Makala hajawahi fanya jambo likakamilika.
Mkitaka mji uwe safi, Wamurudishe Makonda aje atunishe misuri yake. Wakishindwa huyo lambda Mtaka.
Kuwa ondoa machinga kunahitaji mtu atumie nguvu sana ama mipango mathubuti.
Machinga kama wa pale Mbezi huwezi ukawatoa hivihivi. Ni wengi mno afu hawana pa kwenda. Serikali ijipange. Ila Makala tu hawezi kwa kweli.
Usidanganyike wewe.Mtatoka tu, imevunjwa misikiti,makanisa,taasisi za kiserikali inshindwe nyie...
Halafu mnajiona watu spesho Sana ,subirini..
I promise you utatoka (in manara's voice)
Na wewe machinga ni kero. Sasa kama hapo hoja kuu ni watembea kwa miguu kukosa nafasi ya kupita. Kawachunguze hao machinga wako kama wana vitambulisho vya kupiga kuraUsidanganyike wewe.
Machinga ndio wapiga kura wa CCM na wako kimkakati.
Subiri tamko kutoka juu kwamba Machinga wasibughuziwe!
Kitambulisho cha mpiga kura ni muhimu kwa Chadema siyo CCM!Na wewe machinga ni kero. Sasa kama hapo hoja kuu ni watembea kwa miguu kukosa nafasi ya kupita. Kawachunguze hao machinga wako kama wana vitambulisho vya kupiga kura