RC Makalla: Mkoa wa Dar upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibwa

RC Makalla: Mkoa wa Dar upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibwa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI

- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.

- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.

- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kwa siku nne tangu kuanza kwa Operesheni ya kukabiliana na Panya Road Mkoa upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibiwa.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi Cha Kamati ya Ulinzi na usalama kilichoketi kufanya tathimini ya Hali ya usalama Mkoa pamoja na kupokea taarifa ya mwenendo wa Operesheni ya kukamata Wahalifu.


Ili kuhakikisha matukio hayo hayajirudui, RC Makalla amebainisha mipango ya kudhibiti uhalifu ikiwemo Vituo vyote vya polisi kufanya kazi kwa saa 24, Ongezeko la Doria kila Kata, Kila Mtaa kufanya mkutano maalumu kujadili ajenda ya Ulinzi na usalama kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Aidha RC Makalla amesema mipango mingine ni msako kwa Wafanyabiashara wanaouza na kununua Vifaa vya Wizi, Kuimarisha Vikundi vya ulinzi Shirikishi, ufuatiliaji wa mienendo wafungwa waliomaliza kutunikia vifungo na msako kwenye vijiwe, majumba mabovu yasiyokamilika (Mapagala) na vibanda umiza ambavyo vimekuwa sehemu ya kukutana na kuweka mipango.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha wanazingatia suala la malezi kwa kufuatilia mienendo ya watoto wao.

Operesheni ya kukamata Panya Road ilizinduliwa September 15 na ndani ya siku nne imekuwa na mafanikio makubwa yaliyopelekea kukamatwa kwa Watuhumiwa 135, Wanunuzi 5 wa Vifaa vya Wizi na kupatikana kwa Mali zilizoibiwa ikiwemo Tv, Radio, simu za mkononi na vitu vingine.
IMG-20220919-WA0008.jpg
IMG-20220919-WA0007.jpg
IMG-20220919-WA0009.jpg
IMG-20220919-WA0010.jpg
 
Nmependa TU falsafa ya Kupiga chuma,
Hata wezi nao binadamu,wanaogopa kifo
 
Na iwe hivyo haya matkio yaishe tumeshchshwa kupigwa pigwa mapanga kila kukicha roho zinakua juu juu..
 
Ua wote haoo panya wachafu .
 
Hongera kwa kazi nzuri,nilikuwa na mpango wa kununua simu ya mkononi,ngoja kwanza nisikilizie upepo nisije na mimi nikaingizwa kwenye kundi la wahalifu...
 
RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI

- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.

- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.

- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kwa siku nne tangu kuanza kwa Operesheni ya kukabiliana na Panya Road Mkoa upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibiwa.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi Cha Kamati ya Ulinzi na usalama kilichoketi kufanya tathimini ya Hali ya usalama Mkoa pamoja na kupokea taarifa ya mwenendo wa Operesheni ya kukamata Wahalifu.


Ili kuhakikisha matukio hayo hayajirudui, RC Makalla amebainisha mipango ya kudhibiti uhalifu ikiwemo Vituo vyote vya polisi kufanya kazi kwa saa 24, Ongezeko la Doria kila Kata, Kila Mtaa kufanya mkutano maalumu kujadili ajenda ya Ulinzi na usalama kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Aidha RC Makalla amesema mipango mingine ni msako kwa Wafanyabiashara wanaouza na kununua Vifaa vya Wizi, Kuimarisha Vikundi vya ulinzi Shirikishi, ufuatiliaji wa mienendo wafungwa waliomaliza kutunikia vifungo na msako kwenye vijiwe, majumba mabovu yasiyokamilika (Mapagala) na vibanda umiza ambavyo vimekuwa sehemu ya kukutana na kuweka mipango.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha wanazingatia suala la malezi kwa kufuatilia mienendo ya watoto wao.

Operesheni ya kukamata Panya Road ilizinduliwa September 15 na ndani ya siku nne imekuwa na mafanikio makubwa yaliyopelekea kukamatwa kwa Watuhumiwa 135, Wanunuzi 5 wa Vifaa vya Wizi na kupatikana kwa Mali zilizoibiwa ikiwemo Tv, Radio, simu za mkononi na vitu vingine.
View attachment 2361587View attachment 2361588View attachment 2361589View attachment 2361590
Kama hii operesheni siyo endelevu, hamtawaweza hawa Panya road. Haya mambo yanafanywa kisiasa.
 
Ina maana walipotokomezwa wale wa kwanza kuna masalia walibaki, ili kukwepa usumbufu wawasake na waliobakia
 
RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI

- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.

- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.

- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kwa siku nne tangu kuanza kwa Operesheni ya kukabiliana na Panya Road Mkoa upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibiwa.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi Cha Kamati ya Ulinzi na usalama kilichoketi kufanya tathimini ya Hali ya usalama Mkoa pamoja na kupokea taarifa ya mwenendo wa Operesheni ya kukamata Wahalifu.


Ili kuhakikisha matukio hayo hayajirudui, RC Makalla amebainisha mipango ya kudhibiti uhalifu ikiwemo Vituo vyote vya polisi kufanya kazi kwa saa 24, Ongezeko la Doria kila Kata, Kila Mtaa kufanya mkutano maalumu kujadili ajenda ya Ulinzi na usalama kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Aidha RC Makalla amesema mipango mingine ni msako kwa Wafanyabiashara wanaouza na kununua Vifaa vya Wizi, Kuimarisha Vikundi vya ulinzi Shirikishi, ufuatiliaji wa mienendo wafungwa waliomaliza kutunikia vifungo na msako kwenye vijiwe, majumba mabovu yasiyokamilika (Mapagala) na vibanda umiza ambavyo vimekuwa sehemu ya kukutana na kuweka mipango.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha wanazingatia suala la malezi kwa kufuatilia mienendo ya watoto wao.

Operesheni ya kukamata Panya Road ilizinduliwa September 15 na ndani ya siku nne imekuwa na mafanikio makubwa yaliyopelekea kukamatwa kwa Watuhumiwa 135, Wanunuzi 5 wa Vifaa vya Wizi na kupatikana kwa Mali zilizoibiwa ikiwemo Tv, Radio, simu za mkononi na vitu vingine.
View attachment 2361587View attachment 2361588View attachment 2361589View attachment 2361590
Hawa wote wamekusanyika kisa tu vitoto ambavyo havina hata dalili ya kubalehe🤣
 
Leo hajavaa tinted.

Apige kazi hawa panya road ibaki historia.

#MaendeleoHayanaChama
Lakini kuna swali la kuuliza hapa.

Polisi hawafanyi kazi hadi iwepo 'operation' ya jambo maalum?
Polisi walikuwa hawajui kuwa 'Panya Road' wanasumbua wananchi kabla ya hii operation?

Anazungumzia vituo vya polisi kufanya kazi masaa 24; kabla ya hapo vilikuwa havifanyi kazi baadhi ya masaa?
 
Siku zote nlikua nawaambiaga watu
Ogopa sana,na kuwa makini ukiona
Vitoto vidogo wanabeba vibegi mgongoni
Mule ndani wengine wanabeba visual,mapanga mpaka na vitu walivyoiba

Ova
 
Siku zote nlikua nawaambiaga watu
Ogopa sana,na kuwa makini ukiona
Vitoto vidogo wanabeba vibegi mgongoni
Mule ndani wengine wanabeba visual,mapanga mpaka na vitu walivyoiba

Ova
 
Vijana Vituo vya kufyatua matofali na wauza kokoto na mchanga wanavuta bangi sana. Hivi inawajasirisha kufanya uhalifu usiku.

RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI

- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.

- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.

- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kwa siku nne tangu kuanza kwa Operesheni ya kukabiliana na Panya Road Mkoa upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibiwa.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi Cha Kamati ya Ulinzi na usalama kilichoketi kufanya tathimini ya Hali ya usalama Mkoa pamoja na kupokea taarifa ya mwenendo wa Operesheni ya kukamata Wahalifu.


Ili kuhakikisha matukio hayo hayajirudui, RC Makalla amebainisha mipango ya kudhibiti uhalifu ikiwemo Vituo vyote vya polisi kufanya kazi kwa saa 24, Ongezeko la Doria kila Kata, Kila Mtaa kufanya mkutano maalumu kujadili ajenda ya Ulinzi na usalama kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Aidha RC Makalla amesema mipango mingine ni msako kwa Wafanyabiashara wanaouza na kununua Vifaa vya Wizi, Kuimarisha Vikundi vya ulinzi Shirikishi, ufuatiliaji wa mienendo wafungwa waliomaliza kutunikia vifungo na msako kwenye vijiwe, majumba mabovu yasiyokamilika (Mapagala) na vibanda umiza ambavyo vimekuwa sehemu ya kukutana na kuweka mipango.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha wanazingatia suala la malezi kwa kufuatilia mienendo ya watoto wao.

Operesheni ya kukamata Panya Road ilizinduliwa September 15 na ndani ya siku nne imekuwa na mafanikio makubwa yaliyopelekea kukamatwa kwa Watuhumiwa 135, Wanunuzi 5 wa Vifaa vya Wizi na kupatikana kwa Mali zilizoibiwa ikiwemo Tv, Radio, simu za mkononi na vitu vingine.
View attachment 2361587View attachment 2361588View attachment 2361589View attachment 2361590
 
RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI

- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.

- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.

- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kwa siku nne tangu kuanza kwa Operesheni ya kukabiliana na Panya Road Mkoa upo salama Baada ya kufanikiwa kuwakamata Watuhumiwa 135 na Vifaa mbalimbali vilivyoibiwa.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi Cha Kamati ya Ulinzi na usalama kilichoketi kufanya tathimini ya Hali ya usalama Mkoa pamoja na kupokea taarifa ya mwenendo wa Operesheni ya kukamata Wahalifu.


Ili kuhakikisha matukio hayo hayajirudui, RC Makalla amebainisha mipango ya kudhibiti uhalifu ikiwemo Vituo vyote vya polisi kufanya kazi kwa saa 24, Ongezeko la Doria kila Kata, Kila Mtaa kufanya mkutano maalumu kujadili ajenda ya Ulinzi na usalama kila wiki ya kwanza ya Mwezi.

Aidha RC Makalla amesema mipango mingine ni msako kwa Wafanyabiashara wanaouza na kununua Vifaa vya Wizi, Kuimarisha Vikundi vya ulinzi Shirikishi, ufuatiliaji wa mienendo wafungwa waliomaliza kutunikia vifungo na msako kwenye vijiwe, majumba mabovu yasiyokamilika (Mapagala) na vibanda umiza ambavyo vimekuwa sehemu ya kukutana na kuweka mipango.

Pamoja na hayo RC Makalla ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha wanazingatia suala la malezi kwa kufuatilia mienendo ya watoto wao.

Operesheni ya kukamata Panya Road ilizinduliwa September 15 na ndani ya siku nne imekuwa na mafanikio makubwa yaliyopelekea kukamatwa kwa Watuhumiwa 135, Wanunuzi 5 wa Vifaa vya Wizi na kupatikana kwa Mali zilizoibiwa ikiwemo Tv, Radio, simu za mkononi na vitu vingine.
View attachment 2361587View attachment 2361588View attachment 2361589View attachment 2361590
kwahiyo hadi tupige kelele ndiyo wanafanya kazi,napendekeza wakuu wa mikoa wote wawe wakakamavu c wanakuwa wenye viti ya kamati ya usalama mkoa wananenepa tu.
 
Back
Top Bottom