Lakini kuna swali la kuuliza hapa.
Polisi hawafanyi kazi hadi iwepo 'operation' ya jambo maalum?
Polisi walikuwa hawajui kuwa 'Panya Road' wanasumbua wananchi kabla ya hii operation?
Anazungumzia vituo vya polisi kufanya kazi masaa 24; kabla ya hapo vilikuwa havifanyi kazi baadhi ya masaa?