johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahaha wamekuficha nini tena?!Huyo jamaa alilishwa sumu mbona mambo yanafichwa vichwa sana
Nani alimlisha sumu, ila kama kweli mbinguni kuna moto uyu makonda atakuwa kuniHuyo jamaa alilishwa sumu mbona mambo yanafichwa vichwa sana
Best RC ever
UNAFIQ!!Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda ameongoza maombi rasmi ya kumuombea mkurugenzi wa CMG katika viwanja vya Posta jijini Dsm.
Maombi hayo yalifanyika kabla ya kuanza kwa tamasha la fiesta.
Source Clouds tv!
Kuwa huru mkuu funguka zaidi. Mm nautaka sana huo mnyqpio. Hapa jamii forum upo huru usiogpe.Huyo jamaa alilishwa sumu mbona mambo yanafichwa vichwa sana
Mnatutafutia ban ehee?Best RC ever
labda kwa kiki za mapikipikiBest RC ever
Acha uzushi, this time hakudondosha chozi hata.Machozi ya mamba. Hata anapokula huwa Analia machozi.
According to JPM the best RC so far in this country is Anthony Mtaka.