king gabusyo
Member
- Jul 16, 2017
- 71
- 44
Mimi nampenda sana RC Paul Makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh,ulikua humuoni kweny show za dangote ?Le mutuz naye wcb[emoji52]
Shetani ! Mbona hata mzee wa siku anapiga naye stori tu,namchukiaje sasa wakati nilishamshinda kabla hata sijazaliwa.Hata shetani hauna uadui nae!!!!!
Duhhh kweli wewe ni hatari
Si bora hata huyo alifika form 4 angalia babu tale,Said fella,Mavoko,kundi zima la wasafi hakuna aliyefika form 4 so yuko sawa kuwaongoza tu.Hawa wasanii wanakubalije kuzalilishwa na form failure bashite
Mwisho wa Matokeo ya hiyo Elimu ni kuachieve kitu gani maishani?Si bora hata huyo alifika form 4 angalia babu tale,Said fella,Mavoko,kundi zima la wasafi hakuna aliyefika form 4 so yuko sawa kuwaongoza tu.
Elimu,elimu,elimu.
Who cares ita achieve nini?Mwisho wa Matokeo ya hiyo Elimu ni kuachieve kitu gani maishani?