Pre GE2025 RC Makonda amsapoti muuza nyanya kwa kumpa shilingi laki moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Paul Makonda ni kama anaendelea kujitengenezea jina huko Arusha kwa ajili ya ubunge.

===

Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda, akimshika mkono kijana mjasiriamali anayeuza nyanya mitaani, ishara ya kutambua na kuthamini juhudi za vijana katika kujitafutia riziki. Serikali inaendelea kushirikiana na vijana kuinua biashara ndogo na kuleta maendeleo endelevu.
Your browser is not able to display this video.
 
Mwaka huu,tutasikia na kuona mengi
 
Arusha hakupoi hakuboi tangu bwana yule awe Rais wa Arusha.. Naye kick anaziweza....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…