Pre GE2025 RC Makonda: Arusha siyo Mkoa wa Mafisadi, Wezi na Watendaji Wazembe ni lazima tuwatokomezi Katika huu Moto wa Siku6!

Pre GE2025 RC Makonda: Arusha siyo Mkoa wa Mafisadi, Wezi na Watendaji Wazembe ni lazima tuwatokomezi Katika huu Moto wa Siku6!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Atatokomezwa yeye
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Wahojiwa wameandaliwa
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Ccm anaikemea ccm lakini anakemea ccm wanyonge

Wale ccm untouchable wapo wanatafuna nchi,
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote,uzuri hao wote ni majizi ya ccm watajuana wenyewe
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Kwani Makonda ni nani nchi hii
 
Dah sio poa. Week hii tumekuwa bize sana mana mkuu kasema jamaa akija kila mtu awe na majibu. Nataman ningekuwa hata zahanat ya endulen huko najua hawez fika
 
Back
Top Bottom