Pre GE2025 RC Makonda: Arusha siyo Mkoa wa Mafisadi, Wezi na Watendaji Wazembe ni lazima tuwatokomezi Katika huu Moto wa Siku6!

Pre GE2025 RC Makonda: Arusha siyo Mkoa wa Mafisadi, Wezi na Watendaji Wazembe ni lazima tuwatokomezi Katika huu Moto wa Siku6!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lisu dishi limeyumba
Mkuu;

Makonda akimaliza ziara yake tunamuomba atupe orodha ya wezi, mafisadi na wala rushwa atakaokuwa amewabaini huko aliko pita na hatua alizowachukulia.

Vinginevyo ni kuwajaza watu upepo wa kisulisuli!
 
Yeye ndo RC anayejulikana nchi nzima kuliko Ma-RC wote, hata RC wako humjui lkn Makonda unamjua.
Akili za kiushuzi ushuzi hizi. Cha muhimu ni kuheshimu misingi ya utu. Wewe kama Baba/Mama unaona mwanao anaongeleshwa vile utafurahi?
 
Akiwahutubia maelfu ya Wananchi wa Karatu Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amesema huu moto waliouwasha ni lazima uteketeze Mafisadi, Wezi na Watendaji wabovu wote Ndani ya siku 6

Mamia ya Wananchi waliohojiwa na Waandishi wa habari wamesema kwenye hii Vita wako pamoja na Mkuu Wao wa Mkoa

Source: Jambo TV
Shida ya arusha imekosa viongozi wka miaka mingi haswa nafasi ya mkuu wa mkoa, wilaya. Ni kama huwa wanakuja kupumzika hawajiangaishi na lolote. Is why huku chini wanajitengenezea mianya ya upigaji

Haya anayoibua makonda yapo muda mrefu ila hakuna mtu alikuwa anawasikiliza
 
Mkuu;

Makonda akimaliza ziara yake tunamuomba atupe orodha ya wezi, mafisadi na wala rushwa atakaokuwa amewabaini huko aliko pita na hatua alizowachukulia.

Vinginevyo ni kuwajaza watu upepo wa kisulisuli!
Makonda kama RC ana mahali ana report , kwa bosi aliemteua. Ha report kwako kwa namna yoyote ile
 
Mkuu;

Makonda akimaliza ziara yake tunamuomba atupe orodha ya wezi, mafisadi na wala rushwa atakaokuwa amewabaini huko aliko pita na hatua alizowachukulia.

Vinginevyo ni kuwajaza watu upepo wa kisulisuli!
Makonda kama RC ana mahali ana report , kwa bosi aliemteua. Ha report kwako kwa namna yoyote ile
 
Mafisadi,wafanyakazi wazembe na wahalifu wengine wana umoja sio mchezo,ukiwagusa lazima wakuondoe.
Kwahiyo una shauri nini kifanyike?

It's better to die for something than to live for nothing
Live for something rather than die for nothing.
 
Back
Top Bottom