RC Makonda ateuliwa kuwa mshauri wa bodi ya Simba

RC Makonda ateuliwa kuwa mshauri wa bodi ya Simba

Kafanya juhudi gani?
Au ndio "pongezi kwa serikali ya awamu ya 5, nimejaaliwa kupata mtoto wa kiume? "
🖐️🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimemkumbuka tu bashite leo..
Hivi huu ushauri uliishia wapi?
Au MO baada ya kumuona hana mamlaka kantosa
 
[emoji2772][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimemkumbuka tu bashite leo..
Hivi huu ushauri uliishia wapi?
Au MO baada ya kumuona hana mamlaka kantosa
Kiki tu zile, kujipendekeza kwa wenye mamlaka(nguvu)

Big G utamu umeisha imetemwa, usikute jomba kwa sifa zake ni yeye ndio aliitaka hiyo nafasi kibabe kabisa.
 
Daudi Albert Bashite alikuwa na nyodo enzi zile!! Kuna siku alienda kusikiliza kero ya migogoro ya ardhi kwa Wananchi wa Manispaa ya Kinondoni ili kujiongezea kiki [emoji45][emoji45] (Enzi hizo Bashite ni Bashite kweli! Ni mwendo tu wa kupigiwa saluti na policcm!!)

Akakahoji kadada ka watu [emoji2620]kalitumwa kujibia hizo kero huku kakiwa hakana uzoefu wowote ule kutokana na ugeni!! Wacha Bashite amzodoe! Akafikia hatua ya kumfananisha na mwendawazimu!!

Stupid Bashite!! Leo hii sijui yuko wapi!![emoji3062]
 
Back
Top Bottom