RC Makonda ateuliwa kuwa mshauri wa bodi ya Simba

RC Makonda ateuliwa kuwa mshauri wa bodi ya Simba

Safi sanaaaaaaaa mtu wa kazi makonda ndani ya nyumba
 
Katoroka milembe uyo msamehe bure, Makonda mwenyewe sasa hivi ametelekezwa na rafiki zake aliokuwa anawasaidia kipindi hicho yupo kwenye kilele cha utukufu

Katoroka milembe baba ako
 
Huna nidhamu wewe. Unawezaje kumuita hivyo binadamu mwenzio aliyeumbwa na Mungu kama wewe. Malezi mabovu tu hayo.
Chunguza sana wanaotumia cha Arusha akili zao ziko ivyo, kama anawatukana wazazi wake waliomzaa itakuwaje kwa mtu baki ndugu yangu, laana inafanya kazi yake acha atukane anavyotaka
 
Huna nidhamu wewe. Unawezaje kumuita hivyo binadamu mwenzio aliyeumbwa na Mungu kama wewe. Malezi mabovu tu hayo.
Chunguza sana wanaotumia cha Arusha akili zao ziko ivyo, kama anawatukana wazazi wake waliomzaa itakuwaje kwa mtu baki ndugu yangu, laana inafanya kazi yake acha atukane anavyotaka
 
Back
Top Bottom