RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Ila ya shilawadu na yule mwana mke ni ya kweli
 
Umeona enh?! Mi watu nimewaambia jana Mkulu alikuwa standby akisubiri kula ubuyu wa Gwajima live bila chenga halafu jamaa wamemzingua!!!
 
Mkuu wa mkoa wetu mtu makin sana hawezi fanya hayo madudu weken ushaidi mezani kama mnavyotaka vyeti toka kwake
Kuzaa hata Mwingila alishutumiwa kuzaa na muumini wake hili si jambo la ajabu maana tumeshawazoea viongozi wetu wa Dini,
 
Ni kwa nini Rais hachukui hatua kwa huyu mtu?je yeye ndie anae mtuma kufanya hayo mambo?
Nchi imekuwa kama genge la wababe wawili wanaotesa wanyonge kwa matakwa yao,hii habari imeenea kila kona mpaka inakera kwa kweli
Ubashite ni mzigo sana
 
Kama ni kweli Bashite kafanya vurugu kwa kiwango hiki, basi Ruge ni mlaini zaidi ya biscuit.
Hivi Magu kalishwa nini na huyu mwehu anashindwa kumtumbua?
 
Kumbe Mchungaji ni mtundu mtundu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…