RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Bashite anamshushia heshima mheshimiwa Rais. kwa Yale matusi niliyoyaona kwenye page ya mange ni aibu
Yanii Mange..[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji23] kwamba atataja majina ya wote walioto....na Mr prezidaa....khaa
 

Unauliza kama tukihitaji footage? Ofcourse tunahitaji!!!
 
Tuko pamoja sana mkuu Copenhagen DN , kwa heshima yako nime amua kuirudisha avatar yangu ya enzi zile.
Kuhusu nondo JF ilikuwa tamu sana ila saa hizi ina mabadiliko makubwa hivyo sisi wazee wa kasi ya Kobe tunajaribu ki "coupe with the prevailing situation", hivyo baadae tunaamini we shall regain & maintain current momentum.

Pamoja sana mkuu kwa pamoja tuijenge JF.
 
watanzania puuzeni huu ni uzushi;mida hiyo tulikuwepo mjengoni na hakuna kilichotokea
 
Wewe ndiye tutakupuuza!
 
Halafu mkuu usipende kuwadanyanga wakubwa bwana mbona kwa mange hiyo clip haipo,! Kama kweli hebu itupie humu hiyo clip
 
Reactions: MC7
kwa hiyo hayo ndio ilani ya chama na agadi za kampeni za kuwaletea watanzania wanateseka na maisha? mambo ya sijui shilawadu .dah sasa ndio tulipofikia hapo .? nchi sasa itaporomoka kama tunafanya mambo ya mzaha mzaha badala ya shughuli za maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…