Pinga kwa fact achana na MangeMmh kisa mange kaandika hii story basi watu mmekurupuka kuiamini na kuileta humu aisee mnaharibu hadhi ya jf
PointNingekuwa mshauri wa Gwajima ningemshauri amkubali huyo mtoto anayesingiziwa, Gwajima atoke hadharani aseme jamani kweli huyo mtoto ni wangu so kuanzia Leo naomba nifuate taratibu zote nimchukue.......halafu tuone kama Huyo mama atakubali mtoto aende kwa baba asiye wake au kama baba wa mtoto atakubali huo ujinga.
Huyo mwanamke anataka kufanywa msukule ohooooHuku tunakokwenda sasa, na huyu MTOTO ADEKEZWAYE..... sijui!!!
Nami nimeiona hiyo clip! Mwanamke mwenyewe... mmmmm!
Hahahahahahahahahhaha umefanya nicheke sana....Maana umeandika nilichojiuliza piaKwahiyo Bashite ni mdosi wa mafia wa Dar?
Pinga kwa fact achana na Mange