Nani kaisifia shilawadu???....mbona habar yako haieleweki mkuu??Nauliza tu
Umetoka shimoni?Nani kaisifia shilawadu???....mbona habar yako haieleweki mkuu??
Halafu kasema mimba kapatiwa kipindi kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea mwisho, tuseme mwezi Octoba 2015. Sasa mtoto kazaliwa Desemba 2016 baada ya kukaa kwa tumbo miezi si chini ya 14...Katika ile video yule mama alidai kufanya mapenzi na gwajima chini ya mazabau na hapo hapo anaingelea vyumba tisa vilivyopo. Sass hivi vyumba ndyo mazabau?
Utakuwa sio mfuatiliaji wa matukio nchi hii .Nani kaisifia shilawadu???....mbona habar yako haieleweki mkuu??
Nani kaisifia shilawadu???....mbona habar yako haieleweki mkuu??
mbona jina la clinik hakuna
Tungeanza na hii kadi ya clinic.
Haina Jina la clinic, mzalishaji ni hewa, hakuna mtaa, mtaa, kitongoji wala kijiji.
Je hii ndyo kadi ya uyo mtoto kweli?
Kitwanga alithibitika makonda akithibitika atatambuliwa tu lkn sio kwa pressure ya mbaya wake gwajima.
Tatizo aliyemmezesha maneno ni dvsn zero. Hata hesabu hajuiHalafu kasema mimba kapatiwa kipindi kampeni za uchaguzi mkuu zinaelekea mwisho, tuseme mwezi Octoba 2015. Sasa mtoto kazaliwa Desemba 2016 baada ya kukaa kwa tumbo miezi si chini ya 14...
Is that realistic? Au ndiyo ile kusema mwongo lazima awe na kumbukumbu imempiga chenga?
Nafatilia sana mkuu....habaru ya huyo dada naijua..na habari kuwa huo ni mchezo wa bashi naijua...tatizo sijaona huyo mtu aliyeisifia shilawadu....AU NI WEWE NA MASHOGA ZAKO NDO MLIMSIFIA?Utakuwa sio mfuatiliaji wa matukio nchi hii .
Tungeanza na hii kadi ya clinic.
Haina Jina la clinic, mzalishaji ni hewa, hakuna mtaa, mtaa, kitongoji wala kijiji.
Je hii ndyo kadi ya uyo mtoto kweli?
Mafanikio tafuta yako kwanzaKweli kwa michezo hii nchi itapata mafanikio!
Nafikiri hilo ndilo tatizo, na litawasumbua sana.Tatizo aliyemmezesha maneno ni dvsn zero. Hata hesabu hajui
Mm sasa hiv nakula ubuyu mbeleMimi nikiingia kwenye ile account ni kama sebule ya mama mkwe, sijibu yes wala no, ninakunywa nanayokunywa na kuondoka.