Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Huyo twahil ni hayawani tu. Inakuwaje Ikulu inachafuliwa kwa kiwango hiki. Dah!Ushahidi huo hapo bado unapinga
Hahahaa.... Zamu yao kutafuna ubuyuShilawadu, Shilawadu, nawaona nawaona!
Hili suala lake lilikua linakufa kimyakimya.... Sasa yule bwana mchungaji kashikwa pabaya.... Na nimjuavyo konda wafwaaaaaBashite anahaingika sanaaaaa.
Hadi Huruma.
Mungu tuzidishie uhai na afyaView attachment 483065 ukifariki kipindi hiki utamiss mengi Sana
Hii series nahisi ina episodes 20 halafu huwez kuamini ndo kwanza tuko ya tatu.. Jana nimecheka Sana yule Dada anayedai kuzalishwa na Gwajima ETI mtoto mjanja mjanja kama Gwajima asee. Ulimwenguni raha sanaMungu tuzidishie uhai na afya
Acha kutetea upumbavu wewe... zinakupotezea muda umeitwa humu?! Jumapili leo; kamsafishie Bashite viatu awahi kanisani akalie kama ilivyo kawaida yake!!Kwahio umemaliza hivyo nawewe unajiita great thinker
Mods thread za namna hii zinatupotezea muda humu ni heri zifutwe......JF inageuzwa kijiwe rasmi cha UONGO
Hawezi kuona kwa sababu ni msukule wa lumumba na toka lini ukasikia msukule kajitambua.Mkuu utakula maneno yako, ina maana Ile footage ya uvamizi clouds fm hujaiona mpaka sasa?
Kumjibu mtu asiyejua kusoma sa na tarehe ni kupoteza muda wakoAkili zako za ki Bashite bashite
Picha ya security camera imeshatoka. Wenzao si huwa wanazifunika na kitambaa au wanavunja vunja.Siamini hii story kwa zama za sasa bila kuwa na picha walau 1
Siyo mtanzoo atajuliya wapi hizi wonderz??!Mke wa makonda annashindwa kumshauri mumewe jamani?
Mke wake anashinda kwenye makanisa akiomba na kusali! Anampelekesha sana na vyeo vyake vya kipuuzi na ubabe usio na maana!! Anatoa povu mwenyewe lawama ni mwanamke!!! Dada wa watu anakesha makanisani nadhani ana stress kubwa sana sana raha na ndoa hiyo!!! Hana jinsi tu!! Character za watu 2 hao zinafanana kila angle !! Hasikilizi ushauri wa mtu yeytot sembuse wa wanawake???? Jeuri fedhuli na kibri kimejaaaaMke wa makonda annashindwa kumshauri mumewe jamani?