Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Wajanja wa mjini huwa wana marafiki wa tangu utotoni, jamaa kapewa ukuu basi ushikaji na kila mtu kisa wanajulikana na ndio gharama za marafiki wapya inabidi asote kwa kujipendekezaHuyu jamaa sielew yan anaenda shinda clouds km mtangazaj
video ya kutungwa iyo mtatoka mapovu makonda mbele kwa mbeleWe c bure mamluki kabsa!!!
Sawa tumekusikiavideo ya kutungwa iyo mtatoka mapovu makonda mbele kwa mbele
huyu jamaa mtu asipomuwahi akampeleka milembe anaweza kufanya tukio la ajabu hadi watu washangae maana level aliyofikia ni uchizi kabisaMe naona kama iyo ndio fani yake eti
umbea umekua mtamu hadi tunasahau kutupia mikeka. Hatari sana.Ngoja nitulie kabisa, niweke simu charge
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyu jamaa mtu asipomuwahi akampeleka milembe anaweza kufanya tukio la ajabu hadi watu washangae maana level aliyofikia ni uchizi kabisa
Sio yeye tu hata hao polisi ni ZERO sana.Leo ndio nimeamini Daudi alipata Bashite, yaani hata hajui kama clouds kuna CCTV
Firigisi ni shida... Na siku zote ni tamu na laini...KAMA KWELI MKUU ATAENDELEA KUFUMBA MACHO NA MASIKIO BASI KUTAKUWA NA UHUSIANO USIO WA KAWAIDA KATI YA BASHITE NA JPM.
Unamaanisha nini?KAMA KWELI MKUU ATAENDELEA KUFUMBA MACHO NA MASIKIO BASI KUTAKUWA NA UHUSIANO USIO WA KAWAIDA KATI YA BASHITE NA JPM.
NA ZINA UCHAFU KINOMAFirigisi ni shida... Na siku zote ni tamu na laini...
Anamaanisha hiyo hiyo nini MkuuUnamaanisha nini?
Ila hata kama ya ni kutengenzwa asee mi nimeipenda hivohivo duuh....!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] bashite kama Jumongsasa ni ukweli usio shaka kuwa kuna vita kubwa sana dhidi ya paol Makonda na imefikia hadi watu wanatangeneza kudai video eti kuuaminisha umma kuwa ni makonda kwenye iyo video. Jamani achani propaganda uchwara na kwa taarifa yenu hizo propaganda zenu uchwara ndo zinasababisha magufuli awaone hamna la maana zaidi ya vita binafsi dhidi ya makonda.
Mliotengeneza video hiyo mlichokosea ni kuwa Mkuu wa mkoa halindwi na askari wanaovaa mabaka mabaka(kwa tanzania ni JWTZ), pili ni kuwa Jeshi Polisi Tanzania halina nguo za mabaka mabaka kama kenya na tatu ni kuwa Jwtz hawajihusishi na shughuli za usalama zilizoko chini ya polisi. Alafu how comes JW waende clouds wameshika bunduki alafu polisi asishike bunduki????? kweli kitengo cha propaganda dhidi ya makonda na mange wenu. Period.
Unamaanisha nini?
Nmecheka kwa sautiBishop Akiguswa Clouds Watafunga Kituo
Huyo Hana Mchezo Mchezo
Wakijichanganya
Watajiuwa Clouds
Ah! coco bhana... najua unajikaza ki-soap tu hapo, huna lolote!!! Ukibeba mzigo ukakuzidi nguvu; unaudondosha tu... simple! Back then, mwenzako nilikuwa namteteaga Bashite humu lakini hili zigo la safari hii nilipoliona tu; kwa mbaaaaaaaaaaaaali; nikajua ni zigo la misumari hili; halibebeki!!! Mwenzako mapeeeeeeeeeema; since day one nikasema hili la safari hii ni lako peke yako; na wala sitakaa kimya... nitakuwa nakutandika barabara as if sijawahi kukutetea huko nyuma!!!Lol Chige
Waliandika askari nane, na receptionist alipigwa mala fujo, bunduki juu juu kama vitani.
Clip inaonyesha mengine kabisaaa, wanabadili gia angani kuvutana wazidi kudanganyana hao waliosoma div 1*.
Wasiojua kutumga uongo, bora wanaoiba vyeti kiukweli wana akili zaidi yao.
Vyeti to magari to ujambazi to......
Makonda jembe
Oyeeeeee
utakua le mtumboz tuu wewe cocochanel maana umezid kujitoa ufahamu mpaka una boa umu jukwaan
[HASHTAG]#footageNo2[/HASHTAG] iyo apo wana onekana askari zaid wakiingia ofisin umo
swali kwako kilaza ww unazan hao jamaa waliingia kufanya nini ofisin na hiyo mitutu ya bunduki..???