RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

Huyu jamaa sielew yan anaenda shinda clouds km mtangazaj
Wajanja wa mjini huwa wana marafiki wa tangu utotoni, jamaa kapewa ukuu basi ushikaji na kila mtu kisa wanajulikana na ndio gharama za marafiki wapya inabidi asote kwa kujipendekeza
 
Ila kam ingekua movie konda anafaa sana kwenye movie izo......
 
Clouds mmemgeuka makonda ehee mmevujisha video amjui makonda ndio rais wa Dar
 
sasa ni ukweli usio shaka kuwa kuna vita kubwa sana dhidi ya paol Makonda na imefikia hadi watu wanatangeneza kudai video eti kuuaminisha umma kuwa ni makonda kwenye iyo video. Jamani achani propaganda uchwara na kwa taarifa yenu hizo propaganda zenu uchwara ndo zinasababisha magufuli awaone hamna la maana zaidi ya vita binafsi dhidi ya makonda.
Mliotengeneza video hiyo mlichokosea ni kuwa Mkuu wa mkoa halindwi na askari wanaovaa mabaka mabaka(kwa tanzania ni JWTZ), pili ni kuwa Jeshi Polisi Tanzania halina nguo za mabaka mabaka kama kenya na tatu ni kuwa Jwtz hawajihusishi na shughuli za usalama zilizoko chini ya polisi. Alafu how comes JW waende clouds wameshika bunduki alafu polisi asishike bunduki????? kweli kitengo cha propaganda dhidi ya makonda na mange wenu. Period.
Ila hata kama ya ni kutengenzwa asee mi nimeipenda hivohivo duuh....!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] bashite kama Jumong
 
Lol Chige

Waliandika askari nane, na receptionist alipigwa mala fujo, bunduki juu juu kama vitani.

Clip inaonyesha mengine kabisaaa, wanabadili gia angani kuvutana wazidi kudanganyana hao waliosoma div 1*.

Wasiojua kutumga uongo, bora wanaoiba vyeti kiukweli wana akili zaidi yao.

Vyeti to magari to ujambazi to......


Makonda jembe

Oyeeeeee
Ah! coco bhana... najua unajikaza ki-soap tu hapo, huna lolote!!! Ukibeba mzigo ukakuzidi nguvu; unaudondosha tu... simple! Back then, mwenzako nilikuwa namteteaga Bashite humu lakini hili zigo la safari hii nilipoliona tu; kwa mbaaaaaaaaaaaaali; nikajua ni zigo la misumari hili; halibebeki!!! Mwenzako mapeeeeeeeeeema; since day one nikasema hili la safari hii ni lako peke yako; na wala sitakaa kimya... nitakuwa nakutandika barabara as if sijawahi kukutetea huko nyuma!!!

Kwahiyo endelea tu kujikaza ki-soap! Chozi likikukaba liachietu hata kwa mayowe na nitakubembeleza!!!
 
Siku mukulu anatahamaki mara Bashite katinga ndani ya mjengo akiwa na magenerali wa jeshi ndo atajua alaaaa kumbe ndivyo ilivyo!!
 
ndo umegundua leo? Le mutuz=cocochannel=lizabon....hizo tatu ndo nina hakika nazo kwamba ni mtu mmoja,lijinga sana lile li baba na siku hizi si wasanii si mabilionea wanalikwepa ndiyo maana linakazana bashite asianguke maana sehemu pekee aliyonayo ya kuokoteza visenti
utakua le mtumboz tuu wewe cocochanel maana umezid kujitoa ufahamu mpaka una boa umu jukwaan


[HASHTAG]#footageNo2[/HASHTAG] iyo apo wana onekana askari zaid wakiingia ofisin umo
swali kwako kilaza ww unazan hao jamaa waliingia kufanya nini ofisin na hiyo mitutu ya bunduki..???
 
Back
Top Bottom